Recent content by Ukwelimtupu00

  1. U

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Wakati mmoja Samia aliwaambia mawaziri wake "mnakula sana mpaka mnavimbiwa(kula sio shida mradi usivimbiwe tu). Kila mtu ale kwa urefu ya kamba yake" Kitila anakwambia huwezi kuwa tajiri kwa kufanya kazi serikalini Hawa viumbe ni WANAFIKI sana. Wanatafuta sympathy kutoka kwa jamii inayofahamu...
  2. U

    Singida: Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM na Familia yake wanahofiwa kufariki, baada ya gari yao kusombwa na maji Mto Mang’onyi

    Raia wana huruma zaidi na gari kuliko wahanga wa ajali. Hapa ndipo CCM wamelifikisha Taifa. Waendelee kujidanganya tu kuwa wako salama.
  3. U

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    CCM wajishushe. WAACHE UTAPELI NA UNAFIKI. WACHAGUE MOJA. WAWE BARIDI AU MOTO.
  4. U

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Ukiona "Rais" anajisifu hadharani kubwatuka mjue hapo mmekabidhi urithi kwa teenager. Hii Katiba mbovu iliyopo italeta madhara zaidi huko mbeleni. Uwezo wa Samia kuchambua na kukabiliana na mambo ni mdogo sana halafu ghafla anajikuta ana mamlaka makubwa. Ni HATARI SANA. TENA SANA.
  5. U

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Wenyewe wanakwambia HAWAWEZI endesha Bandari ambayo meli zinakuja zenyewe. HAWAWEZI simamia "mwendokasi" wakati abiria wako wa kutosha Watu wa aina hiyo KAMWE wasingeweza kufanya chochote cha maana na hiyo "BBT"
  6. U

    Mungu atakuwa wa ajabu kupokea sala ya ambaye anamuweka mtu jela akidai muhaini na huku hana kosa

    Uzuri wa Mungu ni kuwa Hana unafiki wala UCHAWA. Ameshaweka bayana kabisa kuwa "Huwezi sema unampenda Mungu usiyemuona wakati binadamu unayemuona unamchukia"
  7. U

    Prof. Anna Tibaijuka: Kutumia Mahakama kudhoofisha Vyama vya Upinzani hakujawahi kuleta ushindi kwa Serikali wala kuviua Vyama vya Upinzani

    Mpaka muda huu Samia asivyopenda kuambiwa ukweli atakuwa ameshampa "stress" za kutosha.
  8. U

    Kwanini Katiba Mpya ni muhimu sasa kuliko wakati wote!

    Ukiona mtu anakwambia Katiba haileti ugali tambua kwamba HATAKI uijadili Katiba ITAKAYOMPUNGUZIA huo ugali. Watu wa aina hiyo ni wanufaika wa Katiba mbovu inayowapa ugali wachache huku wengi wakigeuzwa kuwa "watumwa" wa wachache.
  9. U

    Ombeni Sefue: Hakuna utaratibu wa kuwakuza wanaonza biashara

    Hili suala limepigiwa kelele muda mrefu sana lakini hawakutaka kusikia. Hata suala la kukadiriwa Kodi ya mapato ndani ya mwaka wa kwanza wa Biashara nao ni uporaji mwingine. Kiuhalisia ni Biashara chache sana zitakuletea faida ndani ya mwaka mmoja. Biashara inapoanza ni kama mtoto mchanga. Hili...
  10. U

    Dkt. Nchimbi: Watanzania, msiache kuiombea nchi

    Hivi mmeshawahi sikia Japan, China, Singapore, Canada, Australia au Uholanzi viongozi wao waandamizi wakisisitiza kuombea ombea nchi mara kwa mara! Mbona wana maendeleo makubwa sana kuzidi Tanzania ambayo kila mara mnasisitizwa kuombea nchi na bado ufukara umetamalaki kila kona!🤔
Back
Top Bottom