Kuna nyakati ukisikia waziri anazungumza unaona uzito wa hoja. Kwa sasa aibu unaona wewe zaidi unayesikiliza kuliko mzungumzaji.
Watu wakisema uchaguzi uwe kweli wa ushindani ili watu wachujwe ipasavyo wanaishiwa kufunguliwa kesi za UHAINI.
Na la kusikitisha zaidi na makofi wanapigiwa kwa...
OUTCOME ya kiburi Huwa ni Moja TU - KUVUNJIKA. Na hiyo ni kwa kuwa mwenye kiburi amechagua kupigana na Mungu mwenyewe
1 Petro 5:5 ........kwa sababu Mungu HUWAPINGA wenye KIBURI.
Hii ng'oma ni ngumu kwelikweli kwa Samia na wafuasi wake. Wamekutana na kisiki cha mpingo. TULIWAAMBIA NA TUNAWAAMBIA TENA, HAIWEZEKANI KUUA WATU WOTE WALE NA UKABAKI SALAMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.