Recent content by Ukwelimtupu00

  1. U

    JamiiForums Tanzania Muhadhiri wa UDOM, Melkisedek Kaijage aachiwa huru, Apewa Masharti

    Nchi ngumu sana. Unaweza shitakiwa na kuachiliwa hapohapo vile DPP aonavyo inafaa akishirikiana na polisi.
  2. U

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Madaktari nao wakiamua "kuwadunda" polisi kwa njia za kitabibu si watapukutika kama sisimizi🤔
  3. U

    JamiiForums Tanzania Asili Halisi ya Mwenge wa Uhuru: Siri Yafichuka

    💯🎯
  4. U

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Huyu mwigulu aliyewaambia watu wahamie burundi ndio awe rais!👀
  5. U

    JamiiForums Tanzania Godlisten Malisa: Nilipoingia kwenye gari walibadilika. Walikuwa na silaha. Nilinyang'anywa simu na sikuruhusiwa kumjulisha mtu nilipo

    Balozi Polepole aliona mbali aliposema "Ni kama nchi haina mwenyewe"
  6. U

    JamiiForums Tanzania Tume kutoka kuzimu yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    Gharika inayokuja ni kubwa sana💯🎯
  7. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Mwaka 2050 idadi yetu itafikia mil 140 na kila mtu atakuwa na wastani wa kipato cha Sh. mil 20 kama pato lake la Mwaka

    Kafulila anaongea porojo tu. Shilingi yenyewe inaporomoka thamani mwaka baada ya mwaka. Hiyo 2050 gharama za mahitaji muhimu, kafulila anaweza sema yatagharimu kiasi gani!🤔
  8. U

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Unateka raia wako aliyepata mafunzo adimu kwa miezi tisa na hapohapo unataka wawekezaji makini kutoka hukohuko alipotoka!🤔 Hiyo ni akili au hewa tupu
  9. U

    JamiiForums Tanzania Donald Felix Mwembe: Lissu amekaa sana gerezani inauma, Heche akubali maridhiano atoke

    Kwani lissu na chadema walishiriki "uchafuzi" October 25🤔 Samia si "alishinda" kwa asilimia 98! Analilia maridhiano na nani hasa Na wasira si alishasema "serikali" haikufanya makosa October 2025
  10. U

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    "Katiba ni kijitabu tu" Samia
  11. U

    JamiiForums Tanzania Wamemdaka, simu zake wanazo!

    Nina wasiwasi nchimbi tutakayemuona tena uraiani atakuwa sio yule wa awali. Same kama mbowe aliyeingia gerezani na yule aliyeibukia ikulu.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Wavuti ya Bunge inaonesha Ndejembi anasoma masters tokea 2021

    Huu wasifu "watapita" nao muda si mrefu.
  13. U

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Maadili🤔
Back
Top Bottom