Recent content by Ukwelimtupu00

  1. U

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kuwalazimisha watoto wa watu kwenda JKT!

    Huo "uzalendo" unaousifika huko jeshini ndio huo ulioonekana October 29 na kuendelea au kuna mwingine! 🤔
  2. U

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Hivi Samia alikaa darasani kweli au alipita tu au hakupita kabisa!🤔 Hii ni above and beyond
  3. U

    JamiiForums Tanzania Police given green light Kula Rushwa?

    Elimu za hapa na pale ni hatarishi kwa afya ya akili
  4. U

    JamiiForums Tanzania Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

    Kishindo Cha mabeberu
  5. U

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    As always, mojawapo la andiko Bora kabisa.🙏
  6. U

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya Nje: Kuna upotoshaji mkubwa wa taarifa baada ya hotuba ya Bajeti 2026/2027

    Kuna nyakati ukisikia waziri anazungumza unaona uzito wa hoja. Kwa sasa aibu unaona wewe zaidi unayesikiliza kuliko mzungumzaji. Watu wakisema uchaguzi uwe kweli wa ushindani ili watu wachujwe ipasavyo wanaishiwa kufunguliwa kesi za UHAINI. Na la kusikitisha zaidi na makofi wanapigiwa kwa...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Ma CCM yangemuachia Lissu, wakazungumza naye, Uzito wa Oktoba 29 ungepungua, na Pengine Lissu angesawazisha hili suala kwa US na Ulaya

    OUTCOME ya kiburi Huwa ni Moja TU - KUVUNJIKA. Na hiyo ni kwa kuwa mwenye kiburi amechagua kupigana na Mungu mwenyewe 1 Petro 5:5 ........kwa sababu Mungu HUWAPINGA wenye KIBURI.
  8. U

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Kombo alishangalia sana Samia alivyosema vijana wachapwe "mikwaju" It all make sense now
  9. U

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Orodha kamili ya Majina na Picha za Maelfu waliouawa Oktoba 29 kuwekwa hadharani

    Hii itakuwa kubwa kuliko. Samia muda huu presha imeshapanda.
  10. U

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Mnajazwa propaganda za kuwaita ni "mabeberu" halafu chini kwa chini kombo na kabudi wanatafuta angalau wapate hata PICHA pamoja nao🙄
  11. U

    JamiiForums Tanzania Marekani wapo sahihi. Ushahidi wangu kuhusu njama za kuangamiza Wakristo na kufuta Kanisa Nchini Tanzania

    Hii ng'oma ni ngumu kwelikweli kwa Samia na wafuasi wake. Wamekutana na kisiki cha mpingo. TULIWAAMBIA NA TUNAWAAMBIA TENA, HAIWEZEKANI KUUA WATU WOTE WALE NA UKABAKI SALAMA.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Kingu: Tusije tukaruhusu heshima ya Rais wetu ikachezewa, ndiye Rais wa kwanza kuwatembelea wapinzani waliotoroka na kukimbia

    Kuna viashiria vya kutosha kabisa kuwa huyu kingu amewekwa "mfukoni" na Abdul
  13. U

    JamiiForums Tanzania Vyama vya wafanyakazi vyalia na ongezeko la kodi

    Huyu "Rais" wa TUCTA si alishatoa pongezi kibao na shukrani kwa Samia kwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi!🤔
Back
Top Bottom