Recent content by Ukwelimtupu00

  1. U

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Heche kapiga panapouma. Kichaka kinaungua.
  2. U

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Huu "muungano" wa mchongo hauna muda mrefu. Unakwenda kuvunjika.
  3. U

    JamiiForums Tanzania Kabudi: Mungu akishawapa kiongozi, mumpende mumheshimu, hakujileta mwenyewe

    Ni bora akae kimya tu. Haelewi alisemalo. Kama Mungu ndiye "anatoa" viongozi, kuna haja gani ya kupiga kura!🤔
  4. U

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nyuma ya pazia: Wanayopitia Waamini wanaofika kwa Mwamposa kwenye makongamano ya kidini

    Mwamposa tapeli sana. Kwenye biblia ambayo huyu mwamposa anaitumia(kama ni kweli), Yesu alipoona makutano(watu) wamekaa nae muda mrefu na wana njaa alifanya muujiza wa chakula na watu wanaume 5000(pasipo kuhesabu wanawake na watoto) walikula na kusaza. Mwamposa anakaa nao usiku kucha...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Samia alipigwa spana akaamua aende kuwajibu kwa mipasho mafichoni-kizimkazi
  6. U

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Sisi Maaskofu ndio tuliomba kukutana na Rais Samia

    Uchawa ni janga kubwa sana. Machawa wameshafikia hitimisho wanalolitaka wao.
  7. U

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Kwanza hizo pesa za kuchangia kwenye kufanya Tanga iwe energy hub wanazo!🙄
  8. U

    JamiiForums Tanzania BANK-M mikononi mwa Firoz Bayi, Kutakatisha Pesa za wa siasa

    Wahuni wote wanarudishwa. Hii benki kipindi cha msoga ilikuwa imebandika bango kubwa sana just before salendar bridge ikijivunia kuwa na "assets" za matrilioni ya shilingi. Kumbe ilikuwa kichaka cha kutakatisha pesa.
  9. U

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Wamebadilisha mfumo tu. Bado mnatumikishwa tu kupitia gharama(tozo) KUBWA ambazo haziangalii uhalisia wa kipato cha wananchi kwenye mabando ya simu, sukari, umeme, maji, mafuta ya kupikia, petrol & diesel n.k Mmeundiwa na bodi kadhaa kabisa ili kusimamia unyonyaji kwa kificho cha sheria. Same...
  10. U

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Ndio maana nawaambia ccm humu mara kwa mara kuwa kujigamba kuhusu barabara na madaraja, mara shule, hospitali n.k ni ushamba na mtizamo hafifu sana ( labda inaweza kuwa low I.Q) kwa kuwa hata mkoloni alikuwa anajenga pia.
  11. U

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Huu hakika ulikuwa ni ulaghai
  12. U

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Freedom House: Tanzania namba 2 kwenye nchi zilizoshuka zaidi kwenye haki za kiraia na kidemokrasia duniani

    Samia yeye anasema yale hayakuwa maandamano bali ghasia na watu "milioni 31" walijitokeza "kupiga" kura🙄
  13. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Anajidanganya bure huyu Samia. Huwezi kukimbia kivuli chako. HAIWEZEKANI KAMWE.
  14. U

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu ina watu duni mpaka wanagombania bagia za bure?!

    Ndo mtaelewa ni kwa nini CCM kamwe hawatatokomeza umaskini kwa wananchi kwa kuwa ni mtaji kwao. Kumuongoza mtu mwenye utulivu wa maisha inahitaji akili kubwa.
Back
Top Bottom