Mwamposa tapeli sana. Kwenye biblia ambayo huyu mwamposa anaitumia(kama ni kweli), Yesu alipoona makutano(watu) wamekaa nae muda mrefu na wana njaa alifanya muujiza wa chakula na watu wanaume 5000(pasipo kuhesabu wanawake na watoto) walikula na kusaza.
Mwamposa anakaa nao usiku kucha...
Wahuni wote wanarudishwa. Hii benki kipindi cha msoga ilikuwa imebandika bango kubwa sana just before salendar bridge ikijivunia kuwa na "assets" za matrilioni ya shilingi. Kumbe ilikuwa kichaka cha kutakatisha pesa.
Wamebadilisha mfumo tu. Bado mnatumikishwa tu kupitia gharama(tozo) KUBWA ambazo haziangalii uhalisia wa kipato cha wananchi kwenye mabando ya simu, sukari, umeme, maji, mafuta ya kupikia, petrol & diesel n.k
Mmeundiwa na bodi kadhaa kabisa ili kusimamia unyonyaji kwa kificho cha sheria. Same...
Ndio maana nawaambia ccm humu mara kwa mara kuwa kujigamba kuhusu barabara na madaraja, mara shule, hospitali n.k ni ushamba na mtizamo hafifu sana ( labda inaweza kuwa low I.Q) kwa kuwa hata mkoloni alikuwa anajenga pia.
Ndo mtaelewa ni kwa nini CCM kamwe hawatatokomeza umaskini kwa wananchi kwa kuwa ni mtaji kwao.
Kumuongoza mtu mwenye utulivu wa maisha inahitaji akili kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.