Kafulila anaongea porojo tu. Shilingi yenyewe inaporomoka thamani mwaka baada ya mwaka. Hiyo 2050 gharama za mahitaji muhimu, kafulila anaweza sema yatagharimu kiasi gani!🤔
Kwani lissu na chadema walishiriki "uchafuzi" October 25🤔
Samia si "alishinda" kwa asilimia 98! Analilia maridhiano na nani hasa
Na wasira si alishasema "serikali" haikufanya makosa October 2025
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.