Wakati mmoja Samia aliwaambia mawaziri wake "mnakula sana mpaka mnavimbiwa(kula sio shida mradi usivimbiwe tu). Kila mtu ale kwa urefu ya kamba yake"
Kitila anakwambia huwezi kuwa tajiri kwa kufanya kazi serikalini
Hawa viumbe ni WANAFIKI sana. Wanatafuta sympathy kutoka kwa jamii inayofahamu...
Ukiona "Rais" anajisifu hadharani kubwatuka mjue hapo mmekabidhi urithi kwa teenager.
Hii Katiba mbovu iliyopo italeta madhara zaidi huko mbeleni.
Uwezo wa Samia kuchambua na kukabiliana na mambo ni mdogo sana halafu ghafla anajikuta ana mamlaka makubwa. Ni HATARI SANA. TENA SANA.
Wenyewe wanakwambia HAWAWEZI endesha Bandari ambayo meli zinakuja zenyewe.
HAWAWEZI simamia "mwendokasi" wakati abiria wako wa kutosha
Watu wa aina hiyo KAMWE wasingeweza kufanya chochote cha maana na hiyo "BBT"
Uzuri wa Mungu ni kuwa Hana unafiki wala UCHAWA.
Ameshaweka bayana kabisa kuwa "Huwezi sema unampenda Mungu usiyemuona wakati binadamu unayemuona unamchukia"
Ukiona mtu anakwambia Katiba haileti ugali tambua kwamba HATAKI uijadili Katiba ITAKAYOMPUNGUZIA huo ugali. Watu wa aina hiyo ni wanufaika wa Katiba mbovu inayowapa ugali wachache huku wengi wakigeuzwa kuwa "watumwa" wa wachache.
Hili suala limepigiwa kelele muda mrefu sana lakini hawakutaka kusikia. Hata suala la kukadiriwa Kodi ya mapato ndani ya mwaka wa kwanza wa Biashara nao ni uporaji mwingine. Kiuhalisia ni Biashara chache sana zitakuletea faida ndani ya mwaka mmoja.
Biashara inapoanza ni kama mtoto mchanga. Hili...
Hivi mmeshawahi sikia Japan, China, Singapore, Canada, Australia au Uholanzi viongozi wao waandamizi wakisisitiza kuombea ombea nchi mara kwa mara!
Mbona wana maendeleo makubwa sana kuzidi Tanzania ambayo kila mara mnasisitizwa kuombea nchi na bado ufukara umetamalaki kila kona!🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.