Nilijua nachokoza nyuki. Wenye mfalme wangekuja juu. Halafu wasivyo na akili hawa wapambe wa mfalme wanajilinganisha na CCM. Kama mnataka muwe kama CCM mnasababu gani ya kuwepo? Hayo ya CCM ndio hatuyapendi na tulitaka upinzani uwe tofauti. Endeleeni kumshikia mfalme taulo huku mkimdanganya...
Yes, harakati za uchaguzi ndani ya CHADEMA zimekamilika. Kwa maoni yangu uchaguzi huu ulifana katika style au tuseme presentation, ikiwemo mfalme Mbowe kuingia katika viwanja vya mlimani city kwa mbwembwe za helcopta, lakini maudhui ni zaidi ya aibu. It's simply horrendous!
Katika karne ya...
I kind of agree with you. Zitto amekuwa akimstahi sana Mbowe wakati mwenzake ametumia kila aina ya fursa kummaliza kisiasa. Angalau angeanza na hili dili la hela za Singasinga wa Escrow. Angeweka wazi kabisa jinsi Mbowe na cronies wake akina JJ walivyovuta mlungula ili watu wajue aina ya...
Msaliti wa nini sasa? Wewe mambulula ya CHADEMA kila mwenye mtazamo tofauti na DJ Mbowe ni msaliti. Sasa huyo DJ wenu ambaye amekula mlungula wa Singasinga wa Escrow na Zitto nani msaliti? Mwaka huu mtaumbuka sana!
Ahaaa wapi. Kisiki baada ya kumfukuza mwanamume mwenzako Zitto Zuberi Kabwe? Unafanya mazingaombwe? Tangu uwe Mwenyekiti hujawahi kushindana, unapewa ushindi wa mezani. Wewe ni mwoga, huna chochote! Ungemuacha Zitto aingie kwenye uchaguzi angekuliza saa nne na nusu asubuhi. Wadanganye wajinga...
Kwa hiyo ni rasmi kwamba Mwenyekiti alichakachua katiba ili aendelee kugombea. Dk Slaa aliwahi kututangazia hapa JF kwamba Katiba ya CHADEMA haijawahi kuwa na kipengele cha ukomo wa uongozi. Hatari!
Alitoa malalamiko kabla ya kuhama CHADEMA na ndiyo sababu zilizomfanya afukuzwe. Kifupi ni kwamba imethibitika kwamba Mwenyekiti Mbowe alichakachua katiba ili aendelee kugombea. Hatari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.