Recent content by UKWELI DAIMA

  1. U

    Vijana wauana jijini mbeya wakigombania penzi la msichana

    WE ndo -------- as unaongea bila data.Je hili ni tukio la kwanza tz?
  2. U

    Msaada plz

    Cm yangu aina ya tecno t721 ina tatizo la kubadilisha text messege kwenda mms pindi niandikapo sms yenye zaidi ya characters 150 hivyo kushindwa kuituma.nifanyaje ili niweze kutuma sms ndefu?
  3. U

    Kumbe kuna walimu ni boda boda

    watanzania tuache uvivu wa kufikiri.tusipende kuridhika na pesa tulizo nazo.hata kama unapata kiasi kikubwa cha pesa usiridhike ukakaa umebweteka.piga kazi sio kukaa kupiga umbea au kucheza bao.nawapongeza hao walimu.keep it up after all kazi ya bodaboda ni kazi kama kazi zingine!
Back
Top Bottom