Recent content by Uknwn

  1. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

    Mwaka wa 9 unaisha nanlikuwa nmeshatumia kipindi cha miaka ya nyuma takribani miaka 7
  2. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

    Usikata tamaa mkuu, ipo siku utaacha hutaamini! Nlikuwa mtumiaji mzuri sana wa sigara ..yaani kwa siku nlikuwa nikitumia pakt 1 ya embassy. Ila siku moja nikakata sharing nikwanini napata tabu haswa napokuwa ktk mikusanyiko ya watu nikaa nikarafakari nikajiwekea dhamira yakujaribu kuacha kwa...
  3. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Nachukia sana kuona wahindi na waarabu wanakaa Upanga wazawa tunalala Mbagala

    Tukazane mkuu tutafute hela yaha manung'uniko namalalamiko hayatatusaidia ,kukaa kwao huko nijitihada ndgu .Nasisitiza tutafute hela huwezi ukalala ukaota tu na kuwa namatananio yakitu fulani bila yakuwa najitihada najitihada zenyewe nikuwa na kipato kinachotosheleza kukuwezezesha kuishi sehemu...
  4. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Wanasema uombe sana muumba akikupa na akili akupatie na maarifaa
  5. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Namimi niongezee tu kwakwel pole zake zimuendee nyingi watu hatujui maana ya mume nini asee kwamba fangu amekuwa na amebalehe namahusiano yote aliyowahi kuingia ama kutembea kwakehakuwahi kuona mwanaume mzuri saa zingne inatakiwa tukuwe kimwili kiakili na kihisia (many many sory goes to her
  6. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Orodha ya watu wanaojiona wajanja nchi hii

    Hapa nmecheka sana kwenye namba 15
  7. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Watumishi tuache tabia ya kudai kudai tu, tuishukuru serikali

    Kuna misemo ambayo sijui ukweli wake ama uhalali wake ama uthibisho wake ulitoka wap ama unatoka wapi!! Huwa najiulza wale waliosema marehemu hasemwi walikuwa wanamaanisha nn!
  8. Uknwn

    JamiiForums Tanzania Watumishi tuache tabia ya kudai kudai tu, tuishukuru serikali

    Kushukuru ni jambo lingine, suala ni kwanini serikali itoe tamko ambalo kuitekeleza kwake ni vigumu.
Back
Top Bottom