Ni mwanamke jasiri, mpambanaji, mpigania haki za wanawake na vijana, mwenye nia ya dhati ya kuwania na fasi ya mwenyekiti baraza la wanawake BAWACHA taifa.
Nimwanamke ambaye anajuwa matatizo ya wanawake na analenga kuunganisha baraza la akina mama wanawake mpeni kura za kutosha za kumwezesha...
twende na mama sophia mwakagenda ndie mwenyekiti anae faa kuongoza baraza la kina mama bawacha ni mama mwenye weledi na nimakini pia jasiri mpambanaji mwenye kujuwa matatizo ya kina mama asente mkuu kwa angalizo lako la halima mdee kweli nikiongozi makini lakini kwa hili ajiribu kufikiria ayo...
Nape utaangaika sana ndo maana ccm kuna mgawanyiko na ww unajulikana upokundi gani na kuhusu zzk mchukueni aje afanye siasa safi ccm na kwa ushairi jenga chama chako achana na cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.