Eti sisi chedema, sema sisi sisiem tunaotumika kama ndomu. Unafikili kuweka profile ya bendera ndo kuwa chadema? Acha ufala wewe Lumumba waambie na wenzio.. wakusanye makopo yao zimebakia siku 10 tu watupishe Ikulu
ifike muda popote anapoongea vitu kama hivyo afanyiwe kama walivyofanya wahaya Bukoba atapata adabu. Pia na yeye ajue Lissu atampelekea maji na umeme Chato ili astaafu vizuri
Kamanda siro na wewe usitufokee!!! twambie ni sheria ipi Rais wa watanzania mtarajiwa Tundu Lissu amevunja kwa kuwaonya watu wako polisi ambao wako buzy kupiga picha mikutano yake yote wakati mikutano ya mgombea wa sisiem hawafanyi hivyo?. Tunakuonya usitufokee wapiga kura tunajambo...
Ni hivi, CCM na mgombea wenu tunataka majibu ya maswali haya bado tunakusubiri.
1. Wapi walipo Ben Saanane na Azory Gwanda na wengineo wengi waliopotea?
2. Wakina nani walimuua Alphonce Mawazo na wengineo kina Ruwena?
3. Wakina nani walimpiga risasi shujaa wa tanzania Tundu...
Tatizo hujui siasa ni nini. Kwa kifupi na kwa msaada wako Siasa ni mfumo mfumo wako wa maisha, siasa ndo inakupangia wewe uvae nini, ule nini, ufanye biashara wapi, kodi yako ikusanywe je, usome shule za aina gani. yote haya na mengine yanaamliwa na siasa na wanasiasa. ukisikia...
ndo ulivyo na akili ndogo. hutaki bunge, uoni faida ya wanasiasa. wakati huo unataka urekebishiwe mifuo ya kodi. hujjui hiyo mifumo ni shereia zinazotungwa na bunge na hao wanasiasa?
Hatususi uchaguzi, hata kama tume haitakuwa huru tutashiriki. Ila uhakika ni kwamba watawala watatuomba tusitishe mikakati yetu na hapo hatutakuwa na muda wa kuwasikiliza. Wakati ni sasa kila Mtanzania asema tunataka tume huru tusisubiri yaharibike
Uchaguzi uliofanyija Jioni hii Kibaha Pwani wa kumpata mwenyekiti wa Kanda ya pwani, Chadema umekanilika
Kwa nafasi ya Mwenyekiti, Mgombea alikuwa Mzee Sumaye Peke yake ndipo zikapigwa kura za Ndio au hapana
Matokeo: Kura za Ndio kwa Mzee Sumaye ni 28, na kura za Hapana ni 48
Hivyo, nafasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.