Kiongozi ni yule mtu anaefanya vitu kwa usahihi,mfano kwenye tatizo la maji anaweza akabuni njia ya kutatua kama kuchimba visima na kadhalika. Mtawala niyule anafanya vitu sahihi tu na hawezi kuwa mbunifu kwasababu atakua anafata miongozo na sheria za utawala. Tanzania saizi inahitaji kiongozi...
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi leo watanzania wanaanza kusikiliza sera,hoja,kejeri na mambo mengi kutoka kwa wagombea wa nafasi mbalimbali.
Ombi langu kwa wagombea wote bila kujali chama au itikadi yako mjikite kwenye hoja" mtuambie ninimtatufanyia na mnampango kazi upi utakao wawezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.