Unachosema ni sahihi kabisa. Si vijana tu ndo wanapaswa kuwaheshimu viongozi wetu bali watu wa rika zote na jinsi zote yaani ambao wanajitambua kwa mjibu wa katiba ya nchi.
Swali ni je, hao viongozi wenyewe wanawaheshimu wengine? Wanaheshimu nafasi zao walizonazo? Wanaheshimu raia wao?
Kwani kila anayepaza sauti yake kuhusu huo mkataba ni mpinzani? Kwahiyo wewe kila anayetetea raslimali za nchi yetu ni mpinzani? Tuna safari ndefu sana kufika huko twendako
Kumbe mbuzi anajambia mdomo???!!! Mimi sijui kama Iko hivyo aisee. Baada ya hayo narudi kwenye hoja ya msingi. Nani alikwambia "Coward" ni tusi? Inaonekana Kiingereza ni "Mamamkwe" kwako. Tumieni lugha za watu vizuri.
Aisee, wewe ni mnoma sana a.k.a mdedile. Yaani mpaka umewakopi vigogo hao watatu? Unataka hao vigogo wawashughulikie barabara
Nadhani kuna tofauti kati ya kumsema mtu vibaya na kumtukana. Mtu anaweza kusemwa vibaya labda kutokana na tabia au mwenendo wake usioridhisha. Hata katika hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.