Msaada tutani nashindwa kupost matangazo katika Instagram account yangu naletewa ujumbe huo hapo chini.
Anayeweza kunisaidia kuirudisha katika hali yake ya kawaida tufanye biashara
Call 0759212578
Msaa ninakwama hapa nina kadi yangu ya visa ya crdb hua naitumia kufanya miamla mbali mbali online sasa changamoto imekuja nataka nilipie lav software flan bei yake ni usd 75 kila nikijarbu kununua naletewa msg hii ..nimeenda had crdb bank ila hao jamaa wa hapa branch seems nao hawana knowledge...
mi nataka kujua kampuni iliyohusika na utengenezaji wa hyo application ..nimeipenda ningependa nifanye nayo kazi kwa maana kwamba wana technolojia nzuri sana
habari wana jf ninajambo napenda kufaham je mfano mtu umeajiriwa na serikali kwa maana kwamba umepewa barua ya ajira tarehe 17/07/2018 na ikafika mwezi tarehe 25/07/2018 ukawa hujapata mshahara ambayo ni obvious isingekua rahsi mwezi ukapita ikafika tarehe 25/08/2018 ukawa bado haujaingia kwenye...
Habari wanaJF, nina jambo napenda kufaham je mfano mtu umeajiriwa na serikali kwa maana kwamba umepewa barua ya ajira tarehe 17/07/2018 na ikafika mwezi tarehe 25/072018 ukawa hujapata mshahara ambayo ni obvious isingekua rahsi mwezi ukapita ikafika tarehe 25/08/2018 ukawa bado haujaingia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.