Watanzania wenzangu ambao mmeshuhudia ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu,tanzania kufanywa soko na njia kubwa ya usafirishaji madawa ya kulevya,rasilimali za nchi kukabidhiwa wageni kwa bei chee, mali zetu kuingiwa mikataba ambayo ni siri kwa sisi wenye mali,ujangili wa tembo,faru.
Nchi yetu...
Nimekuwa nakusikiliza sana ukitoa hotuba kwa masuala mbalimbali na imejionyesha wazi huna element hata kidogo ya vision ya uchumi wewe kama mtu binafsi na hata serikali unayoiongoza.pia nimekuwa najiuliza safari za ziara unazofanya nje ya nchi na kwa lengo lipi!sijaona move ya serikali yako...
Mkutano wa ninyi marais pale ethiopia,moja ya ajenda yenu ilikuwa ni kujadili kwanini mshitakiwe katika mahakama ya icc na azmio lenu mkasema sisi(marais)hatutaki mtushitaki huko kwa kuwa ni uonevu kwa bara la afrika!je rais wetu,tanzania ililazimishwa kuwa mwanachama katika mkataba huo?na je...
jambo la vyama pinzani kukutana na rais si kutimiza ama kufanikisha lengo la vyama vya siasa,hasha!katiba si kwa manufaa ya vama vya siasa bali ni kwa ustawi wa umma kwa asiyefahamu juu ya nchi yake na yule mwenye kufahamu na ajitolee kupigania wengine na hilo ndilo linapiganiwa na watanzania...
Je kanuni za AU zimeandikwa picha ya Nyerere ibandikwe ukutani!iSSUE si picha kwa ukuta,ungeleta hoja ya mjadala iwapo falsafa ya nyerere juu ya afrika kuungana na kujitegemea kiuchumi inaenziwa na AU
Hapa hapa TZ baadhi ya ofisi za umma na kamuni binafsi hakuna picha za mwalimu sembuse addis ababa
Mzee John Rupia,Mzee Ibrahimu Kaduma,Mtemi MILAMBO ,Chief Mkwawa,Rashid Kawawa ni baadhi tu ya raia wa asili.Wamelinda,kuhifadhi na kutetea kwa uhai na mali zote ndani ya Taifa hili.TAZAMA LORD RAJPAR ALIKIMBILIA WAPI,KINANA AMEHUSISHWA NA MELI ILIYOSHEHENI VIPUSA VYA NDOVU,A.KASSAM ALIZIKWA...
Meya huyu takribani miaka 7 sasa amekuwa anafitinisha wakurugenzi katika ngazi mbalimbali za ccm toka enzi ya mama munuo na hili ni kwa kupigania maslahi yake binafsi ambayo alijijengea mazoea wakati wa kabwe.jiji hili amelivuruga vya kutosha na kinachonishangaza ngazi zote za serikali wilaya na...
Ili tuendelee kuweka nchi hii katika hali ya usalama wakati wote na hatua hizi zinachukuliwa sasa za operesheni kuondoa wahamiaji haramu nchni zile zimeanza mipakani.
Ni wazi tumeona athari kubwa zinazoambatana nao kwa uingizaji silaha,ujambazi na kujenga hofu kwenye maeneo hayo.
Ni wazi wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.