Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Viongozi wote wakubwa Tumewasiliana nao ,ila hawana majibu yakueleweka.
Nimeomba uongozi wa jf wajaribu kushare kwenye platform zao za kijamii ila haijaweza kuwa hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.