Hello.
Nini kimetokea kwa msanii wa nyimbo za Gospel Good luck Gozbert amekuwa na ukimya mkubwa sana uliopitiliza na haieleweki umesababishwa na nini.
Hakuna hits song Tena Wala kuvuma na nyimbo zake zile kama zamani.
Kwa wambea wa kimtandao inasemekana Roma amezaa ulaya anakoishi na amezaa ba mzungu.
Ushahidi wa post alizopost mwenyewe kwenye ukurasa wake IG akisindikizwa na ujumbe wa THANKS God wenye kuonyesha picha ya mtoto wake.
Habari.
Huyu yuko anashinda sana Live TikTok na kuwashawishi vijana wawe mahanisi.
Amekuwa akipost video amevaa nguo zenye nembo ya CCM na mkewe huku akitembea mitaani na kushinda Tiktok.
Anajiita Mungu.
Anashinda Tiktok masaa 24.
Swali langu nani amadhamini huyu kichaa ili aweze kutrend
Mwezi wa Saba Unaenda kuisha
Nipende kuwapongeza.
Civil engineering.
Madaktari.
Nurses.
Famasia.
Maendeleo ya jamii.
Madaktari wanyama.
Mifugo na kilimo.
Hizi ni kada zilizoongoza kulamba asali kwa mwezi huu.
Tusubiri wa nane sijui zamu ya nani itakuwa?
Habari.
Siongei kwa ubaya ni nani anayemuelewa Pastor Tony Kapola juu ya.
° Uvaaji wake
° mahubiri yake hasa Yale ya kusema anataka kufanya collaboration na diamond
° usela usela uhuni mwingi.
Je, tunajifunza nini Vijana wa sasa.
Habari.
Uliwezaje kuishi na mwanamke anayenuna kila wakati,
Mwenye kinyongo,
Mwenye kupenda pendant ugomvi bila sababu.
Hali inayopelekea kulazimishana mapenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.