Yasiwe maneno tu, kodi tulipe na mitaro iliyo mbele ya duka lako bado usafishe,
Alafu kila mwezi kuna mtu anapitia eti elfu tano ya usafi na uspotoa unapelekwa jiji yaani kero tupu!
Kama upo chanika njoo tufanye kazi kwa usimamizi imara na unahamia kabisa,
Gharama za ujenzi huwa zinashuka au kupanda kutegemea na material utakayotaka kutumia,
Kwa mfano kuna tofali za kupigwa na mkono na kuna tofali za mashine.
Lita 20 emulsion 35000, lita 20 silk 135000, lita 4 za mafuta 23000 na gypsum powder 35000andika,
Karibu tukuhudumie kama ipo chanika usafiri ni bure mpaka site,
Pia wapo mafundi wazuri na waaminifu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.