Recent content by UHEHE KWETU

  1. U

    Jangwani: Lissu amenisikitisha!

    Pole sana, kama matusi ya wabunge wa utawala wanavyorusha matus dhid upande mwingine na huyaoni badala yake neno ma ccm ndo limekufanya uzime redio. Na kwa hali hiyo utoe kabisa betri kwenye redio ili ubaki hivyohivyo ulivyo
  2. U

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Niko Magu idara ya sec, kwa anayefundishia wilaya za mvomero, kilosa iringa manispaa, njombe mji, mbeya jiji ani pm
  3. U

    Daraja la Kigamboni lilipofikia katika Ujenzi - Sasa inawezekana kutembea kwa miguu

    Hata mzazi anayetimiza wajibu wake ktk familia yake, hatakiwi kupewa shukran/pongez kwa kuwa ni majkum yake
  4. U

    Ndugai: Sheria ya kufilisi mafisadi yaja - Zitto/Filikunjombe wachongaji

    Hatuna haja ya kuwa na lundo la sheria what matter ni utekelezaji wa sheria zilizopo
Back
Top Bottom