Recent content by ugasa

  1. U

    Mh pengo anamuhujumu kikwete?

    maneno haya ya pengo ya sasa ni tofauti alioyatoa mbele ya jaji warioba.
  2. U

    Mh pengo anamuhujumu kikwete?

    mbona kwa warioba kapendekeza serekali 3?
  3. U

    Mh pengo anamuhujumu kikwete?

    Pengo hajui kwamba 66% ya wataz bara wanataka serekali 3.
  4. U

    Mh pengo anamuhujumu kikwete?

    Msimamo wa kanisa ni serekali 3. Leo hii Mh Pengo anataka serekali 2. Hii ni wazi inawezekana Katiba ikakwama kupata theluthi inayotakiwa na kutumika ile ile ya 1977. Inaamana kwamba kazi yote iliofanywa ni bure GAZETI LA HABARI LEO <p>MUUNDO wa serikali tatu uliomo ndani ya Rasimu ya Katiba...
  5. U

    Vuai: CCM Zanzibar itapinga kwa nguvu serikali 3

    Naibu katibu Mkuu wa Zanzibar amesema CCM haiko tayari na mfumo wa serekali 3. Amesema hayo Makunduchi jana.swali: kwanini baadhi ya CCM Zanzibar haitaki serekali 3? wao wanaathirika na nini?Jee 61% ya waliotoa maoni. CCM hawamo?
  6. U

    Watano wauawa huko Nyantorotoro - Geita

    john na Joseph. maana siku hzi wanachoma makanisa na kuwaita vyombo vya habari kudai ni waislam. wakiristo watz serekali inatakiwa wawe makini
  7. U

    Tv imaan yapata kibali rasmi

    hata zitto na arfi wanapigwa vita ndani ya chadema kwa sababu ni waislam tu. WANGALIKUWA WAKIRISTO unadhani makanisa yangalikuwa yafanya vikao vya siri kuwaunganisha. Wakiristo wamejiapanga kila kona
  8. U

    Tv imaan yapata kibali rasmi

    kweli mkuu. hata usshoga na ufuska makanisani utaongezeka. maana hawa jamaa wazuri wa kuwashawishi maaaskofu kufanya ushoga
  9. U

    Tv imaan yapata kibali rasmi

    Tv imaan yapata kibali rasmi. Tv hii inaendeshwa na islamic foundation. Licha ya islamic foundation kumiliki tv. Pia ina redio na shule za sekondari.lakini inamiliki zahanti nyingi hapa nchini zinazosaidia waislam na wasiokuwa waislam pia ni taasisi iliokaribu sana na chuo kikuu cha waislam...
  10. U

    Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara

    wakiristo kama hawakuiba serekalini na kutoa msaada makanisani au kupewa pesa za MOU wangalikuwa maskini kuliko watu wa ethopia
  11. U

    Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara

    wakiristo watz wanachuki nawaislam sana hili halina ubishi
  12. U

    Tahadhari kwa wanaokula kitimoto

    Imekuja elimu kudiriki baadhi ya mambo yaliyokatazwa na sheria ya Kiislamu iliyohifadhiwa na wafuasi wake karne kwa karne kabla ya kugunduliwa kwa darubini na kwa mpangilio huo huo : Mzoga ambao bakteria hukua ndani yake, damu ambayo bakteria hukua ndani yake kwa kasi kubwa zaidi, hasa ikiwa ni...
  13. U

    Tahadhari kwa wanaokula kitimoto

    CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa. Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya tegu ambao nyama yao ikiliwa bila kuiva vizuri, mlaji atapata...
  14. U

    Ujumbe kwa x-mass wa kusameheana ni hapa kwetu unafiki tu

    Hapa kwetu Tanzania mbona hawataki waislam kujiunga na OIC au mahakama ya kadhi huku wao wakiwa na vatikan? Kama kweli uko moyoni, mbona MOU hawavunji mkataba? Mbona hawaikemei NECTA? Hpa kwetu sidhani kama ni wa kweli. huko ulaya mbona wapo kimya kuhusu Marekani na israel wanavyofanya duniani?
  15. U

    Sakata la Zitto na wenzake: CHADEMA amueni kusuka au kunyoa!

    Hamad Rashid. Tambwe hizza. Salum Msabah Mapalala (Mwenyekiti muanzilishi) WOTE HAPO JUU WAMETOWEKA KISIASA.MAALIM SEIF KWELI NI MWANASIASA MKOMAVU NA ANAJUA KUENDESHA SIASA. Kama Mh Zitto angalikuwa ndani ya CUF, zamani angalikuwa historia
Back
Top Bottom