Umeongea jambo kubwa sn mtoa mara, iyo njia ni shida...km 3 zimekuwa adhabu kwa wakazi wanao kwenda Chanika kupitia hiyo barabara, huwenda wahusika wakachukua hatua katika hili...Mola awaongoze
Fanya utafiti mzuri kwa kutafuta watu wa karibu wa hayo maeneo wakupe infor ya kutosha, mkoa wa pwani utoe kwenye orodha ya kupata shamba, mipango miji inaonesha hayo maeneo ni viwanja vilivyo changamka miaka michache ijayo...hivyo huwenda msamiati wa bei nafuu usifanye kazi sn hapo. Kila la...
Ngoja wachambuzi waje kunogesha hili, usafiri wa umma hapa Dsm changamoto sn ..tunapambana kibishi tu. Kumiliki usafiri Tz ni ngumu kuliko nyumba pia tukiwaona wenye magari brbrn hata no A tuwape maua yao mana siyo jambo jepesi
Mkuu huu utaratibu wa kurudi chuo u some Tena hiyo kozi ya udereva hata kwa mtu mwenye leseni ndogo ya kuendesha gari binafsi? ambayo leseni ya 1 alikuwa nayo na imeisha muda wake anahitaji kurenew? Elimu tafadhari juu ya hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.