Recent content by ugali_mchicha

  1. ugali_mchicha

    Smartmalipo kutoka Maxmalipo

    Habari za leo wakuu! Maxmalipo wameanzisha application yao inayoitwa Smartmalipo application ambayo unaweza ku-install na kufanya registration kuwa wakala wa maxmalipo kupitia hiyo application ya Smartmalipo. Swali langu ni, commisions nazipataje ninapotoa huduma zipatikanazo kwenye smartmalipo...
  2. ugali_mchicha

    Clinical medicine,diploma/certificate

    Ukishachaguliwa hapo ndo haitawezekana. Ila kwa sasa unaweza kuingia kwenye profile yako na ku-edit chaguzi zako kama uliapply kwa njia ya online.
  3. ugali_mchicha

    NACTE imevishusha hadhi Vyuo 16 nchini na Vitatu vimefutiwa usajili

    Soma gazeti la HABARILEO toleo la tarehe 25/06/2015 Alhamisi utapata habari kamili.
  4. ugali_mchicha

    UDSM mbioni kuanzisha Udaktari

    Hiyo medical school na UDOM wanafungua kitu kama hicho!?
  5. ugali_mchicha

    Walimu semina za BRN

    Semina hizo hufanyika kwa muda wa siku tatu hadi tano kwa kutegemea na unyeti na ugumu wa mada teule.
  6. ugali_mchicha

    UDOM diploma in nursing and diploma in pharmacy

    Hawatoi mkopo kwa hizo kozi isipokuwa diploma in sekondary education
  7. ugali_mchicha

    Msaada: M-PESA, Tigopesa, Airtel Money inalipaje?

    Na mimi nahitaji hiyo ya m-pesa yenye jina langu
  8. ugali_mchicha

    Mada maalum: Mchakato wa udahili vyuo vya afya

    Hivi vyuo vya afya wanatoa mikopo ya gharama za masomo kwa ngazi za cheti na diploma!?
  9. ugali_mchicha

    NACTE yaleta mkanganyiko Diploma

    Mwenye makosa ni mkurugenzi wa halmashauri
  10. ugali_mchicha

    Ajira za walimu 2014/2015 ni majanga

    Vile vile mnaweza kwenda kuomba ajira za kufundisha katika shule za kata ambapo mkuu wa shule anawaajiri kwa mkataba wa muda na malipo ni mazuri tu wanalipa kuanzia Tsh 80,000/= hadi Tsh 150,0000/= kwa mwezi. Hili litakusaidia kujenga uzoefu kazini. Ila ukijiona wewe una elimu kubwa huwezi...
  11. ugali_mchicha

    Ajira za walimu 2014/2015 ni majanga

    Walimu unganeni mtafute kiwanja then muende bank kuchukua mkopo mfungue shule yenu na mpigishe kitabu watoto wetu. Hilo ni wazo langu na ninatumaini mkilifanyia kazi mtafanikiwa katika maisha na kuacha kuililia serikali isiyokuwa sikivu kwa watu wake!!!
  12. ugali_mchicha

    Ujumbe kwa wanafunzi wa vyuoni

    Saadyy umesema kitu cha kweli kwani kukaa chuoni na kukomaa na kitabu peke yake huondoa uwezo wa utendaji kazi na ufikirivu! Hii inawalenga wale wanaokaa on campus, na kwa wale wakaao off campus wana nafasi kubwa ya kufanya mambo mengine ya uzalishaji mali. Mfano kama mwanafunzi unasoma...
  13. ugali_mchicha

    nafasi vyuo vya ualimu

    Mfumo wa udahili wa pamoja ulifunguliwa tarehe 02/04/2015, kwa maelezo zaidi tembelea www.nacte.co.tz
Back
Top Bottom