masomo kidogo ni muhimu ndugu watu wanaongelea lugha wewe umekuja na ubishi mwingi eti wezi, nyang'au blablabla....atleast unge fake ubongo wako kidogo angalau uonekane kama mtu aliyekanyanga ndani ya darasa; lakini wewe umeweka ujinga wako wazi watu wauone
wewe unatia huruma sana....eti wanavyojidai? kwani wewe huna macho kuona projects on the ground? yaani baada ya kupitia huu uzi wote kurasa 22 hii picha yako ndio conclusion yako? hii group yenyu ya vilaza inatia aibu sana, tafathali wacha kuwapa waTZ a bad name, wale ambao nawajua na kuwafahamu...
Boss! hamna jipya unalosema, uzi kuhusu Tz kukosa national anthem ulikuwa hapa; historia ya wimbo huo iliwekwa hapa na ikawa wazi kuwa nyie mlichapa photocopy tu .....alafu jiulize mbona hao wengine waka abandon???
Anyway back to the agenda; jambo linalo nikera ni kwamba kila wakati mkibanwa...
bwege wewe hauelewi unachosema, ni anthem ngapi duniani umeskia zinafana isipokuwa hiyo yenyu mlio copy toka SA. sitaki kujua kama iliandikwa na foreigners, taja ngapi umeskia. pthuuu!!!
hahaha Boss! ukichengwa tulia....wewe ulikuja hapa na matusi na mbwembwe sasa unapata ma knock-out tu...jamaa anauliza swali lakini wewe unatapa tapa tu bila kujibu. Jay456watt big up you've gone Moses Kuria on this guy
kama ni data tu alitaka, si angeuliza tu angepewa.... hamna haja ya kutumia njia ndefu. lakini sasa angalau umeona ule ujinga ambao tunaopinzani kila kuchao
very very true .... and there are so many new trendy places coming up hata nashindwa ku catch up. what with the new building projects complete akina Hass, Greenfield na Infrastruture like Uhuru highway, Ngong road, outer ring...... mmmhhh it will finally be cast in stone NAIROBI IS KING OF EAST...
good one....hehe ati tutaisoma namba. mi nangoja tu kuisoma na vile mambo yanaendelea, naona wajukuu wetu hiyo namba wataingoja kuisoma pia. Where Tz is right now (economically, politically, socially) is where Kenya was 15 yrs ago.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.