Recent content by UFALMEnaUKUHANI

  1. U

    Utafiti uliodumu kwa Miaka 22 kuhusu Mungu yupi ana nguvu katika Ulimwengu wa Rohoni. Hakika Mungu wa Walokole ana nguvu

    Halo mtu wa Mungu !naomba ridhaa! kusoma utafiti wako katika you tube channel Yetu kama ulivyo.
  2. U

    Utafiti uliodumu kwa Miaka 22 kuhusu Mungu yupi ana nguvu katika Ulimwengu wa Rohoni. Hakika Mungu wa Walokole ana nguvu

    upande wa watu warefu wenye kuakisi mwanga jua! Safi sana! Nzuri mno! Naomba iwe kitabu ikisha kamilika itasaidia wengi asante.
  3. U

    Mungu anaongea Nasi Sasa?

    Mungu wa Wote wenye mwili wa Adam: Muumbaji!
  4. U

    Mungu anaongea Nasi Sasa?

    Kazi njema!
  5. U

    Mungu anaongea Nasi Sasa?

    Sawa anaongea!
  6. U

    Mama Tanzania! Nduguzo wa wapi?

    Wewe ni nani? Ni Nini Mama Tanzania We ni wapi ni yupi Maji na bahari,maji baridi Kwenu ni wapi asili ni ipi Iwe karibu nyumbani Kilimanjaro,Dunia juu zaidi Watoto wako ni wapi Wavivu? Walegevu? Wenye fikra?wasubirivu? Mbaya wako ni yupi? Kwa Baba mtoto hukua? Wanaume.ni wapi? Ushajaa ni upi...
  7. U

    Mungu anaongea Nasi Sasa?

    WAhenga nao je? Asiye funzwa na mamaye hiyo sio mwanawe?
  8. U

    Mungu anaongea Nasi Sasa?

    wakati wa usiku usingizi mazito uwajiapo wanadamu.Mungu hunena na sio mara moja.lakini watu hawayatilii maanani yaliyosemwa naye. Nirudie Mungu anasema kila siku na kila anaitwa mwananadamu.Ukipuuza Sasa ukiwa na pumzi puani. Utaelewa kwa lazima ukiwa haupo tena katika mwili.Ni lazima uone...
  9. U

    Kwanini Elon musk?

    Hapa 🙏.Tunapanua mada na kuipa jina The New world Order!
  10. U

    Kweli vs halisi!

    Ulimwengu! Umeacha wanadamu wenye macho hafifu ya ndani waendelea kuishi uhalisia badala ya ukweli! Hivyo maisha yamekuwa ni kama bahati nasibu!aliyesifika Leo kwa kutafuta heshima Mali na fedha ndiye anayetajiwa kesho kuwa marehemu! Yaani baada ya juhudi zote muda unabakia kuwa mwamuzi wa nani...
  11. U

    Kweli vs halisi!

    Ulimwengu! Umeacha wanadamu wenye macho hafifu ya ndani waendelea kuishi uhalisia badala ya ukweli! Hivyo maisha yamekuwa ni kama bahati nasibu!aliyesifika Leo kwa kutafuta heshima Mali na fedha ndiye anayetajiwa kesho kuwa marehemu! Yaani baada ya juhudi zote muda unabakia kuwa mwamuzi wa nani...
  12. U

    Watanzania ni wavivu?

    Maneno haya niliyasikia kutoka kiongozi mmoja wa Dini! Yalinifikirisha!yanipa uzito katika moyo!Yakaniachia kazi ambayo mpaka Sasa natumika nayo! Nawaza ni kweli watanzania ni wavivu? Je kigezo kipi kimetumika kupimwa uvivu huu? Mbona umetajwa ka ujumla na kwa urahisi? Nawaza kwa habari ya...
Back
Top Bottom