ba ndugu hv unaangaliaje mbona inangomea, nachagua pale aina ya mtahniwa ambayo ni s nkija kuingiza no naambkwa invalid no lakn cjakosda chochote tusaidiane jaman
mkuu ukitumwa kiongoz kwel utaemda kuchukua dr. Slaa mbona utamshangaza hata alokwagiza, m2 hana hata self determination. NGO's nyingne znajaz kwel kwel hasa hii Chadema
Mkuu hadi kuandika hii thread jua ninaakili tena sidhan kama zinalingana na za kwako make ungekua nazo ungejena hoja na si kukashif, na naomba nikujuze tu m sipo ccm chama bora kwa ajili ya buku 7 nipo huko kuwatetea wanyonge kwan ccm n chama chenye sera bora si vyama vinavyo jenga chuki na...
mi ni mwana ccm ila wassira nakuona kama mropokaji na nyie ndo mnatuharibia chama, huo upuuzi mmepitisha nyie unadhan kama vyama vya upinzani visinge piga kelele rais si angeusain hvo hvo na ubovu wake nlitddgemea ungeweka masilai ya nchi mbele na kuwapongeza wapinzani
Kama kuna kitu ambacho ningependa kuwashauri watanzania wenzangu ni kuendelea kuamini kuwa CCM ndo chama pekee chenye uwezo wa kuiongoza nchi hii msije mkajidanganya hata siku moja kuwapa wahuni wa vyama vingine kuongoza nchi najua haiwezi tokea ila tu ni tahadhari kwa wanaohisi kua Chadema...
Ujue kuna viongoz wanaingiza pesa kutokana na biashara hyo haram na wana jenga mijumba na kumiliki vitu mbal mbal vya gharana dat y m naona ihalalishi ili walipe kodi ztakzo saidia watanzania wote na c 2 viongoz wanaochukua mapato kisiri
Mkuu hebu tafuta sheri a ya mwongozo wa makosa ya jinai kifumgu cha 145 na 146 utajua, pia najua wa2 wanafanya kwa kuibia ila 2 nataka sheria iruhusu kwan hcho k2 hakizuilik mkuu
Wakuu huu n mtazamo tu, make pia katiba inaniruhusu. Nionavyo mimi biashara ya ngono ingehalalishwa tu ila kukawa na sehem maalum ambapo watu wanaofanya hyo biashara watakaa na kufanya biashara yao na walipe kodi serikalini m najua kuzuia hii kitu haiwezekan. Naomba kuwasilisha
Mana mana 2mechoka sasa, bongo ukijifanya ww unajua xana kutumia diplomasia ktk kudai hak itakula kwako, utakaa had 100yrz hujaipata hyo haki, kikubwa n kuingia barabaran
Habar zenu wanajamvi, k ukwel leo nmeamua kufunguka hakuna k2 knachonkera kama utawala wa udom, watu tunaenda kufungua chuo hatujui hata matokeo we2 yamekaa vp zaid zaid 2napandishiana 2 michango ili viongoz wazid kuneemeka hii haikubalik kwa msomi yeyote kama vp kikanuke 2. Mawasilisha hoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.