huyo jamaa hata mimi amenishangaza nadhani atakuwa mkenya bongo tuna vivutio vingi Kwa Africa tupo top 3 kama tungekuwa na promo nzuri tungeshika hata nafasi ya kwanza 100% fikiria Mali asili za Tanzania zingekuwa Kenya ingekuwaje?? Ile Bustani ya maua kule makete Haina promo kabsa nasikia...
Salute,,, Niende kwenye hoja moja moja Kwa moja binafsi mimi Huwa napenda sana ukifuatiria siasa ndani na nje ya Africa Kwa ujumla.
Leo nilikuwa napitia kitabu Cha mwandishi wetu mashuhuri mwenye mituzo kedekede nakiri kusema kama kweli hivi vitabu yeye ndio mwandishi halisi basi...
we ndio unaweza kuwa unawaza upumbavu binafsi nimenunua tvs za 1.5m madogo wanaleta 21000 Kwa siku sasa pigia hesabu kwa mwezi dh ngapi...ishu ni usimamizi mzuri na service..
Huyu jamaa atakuwa amesoma Kampala university Ile ya gongolamboto hivi kweli majitu yanaumizwa vichwa kutoa maproject makubwa Leo uje umkosoe msomi wa Kampala university ambae hata umeshindwa kutoa shuruhisho la Nini kifanyike kwenye nchi mfano tu tuna magari mwendo Kasi ambayo...
Aisee mimi nilipita hapo mbaka machozi yalinilenga lenga serikali yetu sijui Kuna shida gani pale ubungo shekilango nyuma ya kiwanda Cha bomba(UFI) kulikuwa na uwanja mkubwa ambayo external mbaka Riverside ilikuwa eneo lao la mchezo wa mpira ajabu kama miaka mitatu imepita naona pamejengwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.