Recent content by Udart

  1. Udart

    Vijana, Figo zinaua, jilindeni na haya Mapombe…Ushauri tu!

    mimi nimezika Leo njombe dogo alikuwa anapiga sana pombe Kali aka visungura dogo maini yaliharibikA sana.
  2. Udart

    Kwanini Kenya inapendwa na wazungu ilihali tumezidi vivutio?

    huyo jamaa hata mimi amenishangaza nadhani atakuwa mkenya bongo tuna vivutio vingi Kwa Africa tupo top 3 kama tungekuwa na promo nzuri tungeshika hata nafasi ya kwanza 100% fikiria Mali asili za Tanzania zingekuwa Kenya ingekuwaje?? Ile Bustani ya maua kule makete Haina promo kabsa nasikia...
  3. Udart

    Walaka kwa Yericko Nyerere

    Salute,,, Niende kwenye hoja moja moja Kwa moja binafsi mimi Huwa napenda sana ukifuatiria siasa ndani na nje ya Africa Kwa ujumla. Leo nilikuwa napitia kitabu Cha mwandishi wetu mashuhuri mwenye mituzo kedekede nakiri kusema kama kweli hivi vitabu yeye ndio mwandishi halisi basi...
  4. Udart

    GE2025 Kanisa Katoliki kuliombea Taifa kwa siku tisa

    mkuu unaweza kunipa darasa kidgo nbox pls
  5. Udart

    Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    we ndio unaweza kuwa unawaza upumbavu binafsi nimenunua tvs za 1.5m madogo wanaleta 21000 Kwa siku sasa pigia hesabu kwa mwezi dh ngapi...ishu ni usimamizi mzuri na service..
  6. Udart

    Wanachofanya NASA ni jambo la kijinga sana na linatakiwa kupingwa kwa nguvu zote

    Huyu jamaa atakuwa amesoma Kampala university Ile ya gongolamboto hivi kweli majitu yanaumizwa vichwa kutoa maproject makubwa Leo uje umkosoe msomi wa Kampala university ambae hata umeshindwa kutoa shuruhisho la Nini kifanyike kwenye nchi mfano tu tuna magari mwendo Kasi ambayo...
  7. Udart

    Nafazi za kazi kampuni ya Gardaworld

    😂😂😂😂 najarbu ukifikiria kitambo kilivyo jaa fasta
  8. Udart

    Aisee unakuta kuna mwamba anaendesha hii chuma. Aisee hongera sanaaa

    😂😂 Kuna jamaa analo tabata limekaa tu dude kama trecta
  9. Udart

    Aisee unakuta kuna mwamba anaendesha hii chuma. Aisee hongera sanaaa

    limepitwa na wakati Hilo dude cc 5000 hata halivutiii kabsa.
  10. Udart

    DOKEZO Nani ameruhusu uwanja wa Biafra-Kinondoni uliokuwa unatumika kwa shughuli za umma umegwe kwa mfanyabiashara?

    Aisee mimi nilipita hapo mbaka machozi yalinilenga lenga serikali yetu sijui Kuna shida gani pale ubungo shekilango nyuma ya kiwanda Cha bomba(UFI) kulikuwa na uwanja mkubwa ambayo external mbaka Riverside ilikuwa eneo lao la mchezo wa mpira ajabu kama miaka mitatu imepita naona pamejengwa...
  11. Udart

    Nimebubujikwa na machozi, picha ya kumbukumbu ya kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri la Rais Samia awamu ya Kwanza kilichoketi leo

    We mwashamba fala sana ndugu yako mdude huko mbeya amekufa mbaka Leo hatujui Yuko wapi ww uko busy na uchawa.😠😠
  12. Udart

    Natafuta mume

    ungekuwa muislamu @ mshana jr hana baya....
Back
Top Bottom