Jamani. Nilisoma wenzetu wa nchi jirani waliweza over $3 miloni kwenye kampeni. Nadhani kilio ni hizi milioni 3 usd na sio nani kapiga kura dhidi ya mgombea huyu. Investment hii imekuwa hasara kubwa kwa taifa.
Again, 3 m usd kwa ajili gani? Ni vyema tukaangalia kililengwa kitu gani kwa hili...
Napenda kuwatahadharisha watanzania wote popte walipo.
kuna tangazo kupatana linalodai kuunganishwa na dstv na Bein kwa kutumia ving'amuzi vya zuku, azam, continental. Bei ni shs 40,000 tu. Usidhubutu. Binafsi nimeliwa. Tahadhari hii ni kwako lisije kukuta.
namba yake ni 0658644118. Anasomeka...
I have a question: Why must you always urinate when you poop? What is the physiological reason?
Dr. Adams says:
This is an interesting question. There are many muscles (both voluntary and involuntary) that are involved in helping one to both urinate and pass stool. These muscles have dual...
Siamini kuwa nchi hizi zikishindwa kabisa kuendesha TAZARA. Naamini kilichopelekea TAZARA kuyumba ni nguvu zilizotumika kudivert mizigo toka usafiri wa reli kwenda kwenye malori. Hili ndilo liliathiri reli ya kati. Na kumbuka nguvu hizo zilitakuwa zilifaidika na utashi wa maafisa serikali...
Kwa njia ya kampeni wapiga kura wanafikiwa huko waliko.
Mdahalo ni mwendelezo wa opion poll za Twaweza. Worse ni hiyo chanel ya tv ambayo tayari imejitabanaisha na ccm.
Ukawa they should not waste their time kwa mdahalo given the fact that mpiga kura tayari alishafanya maamuzi. Sasa ni...
Ilipoanguka aliyokuwa akitumia mh Nasari. Marufuku ilitolewa na tahadhari na mamlaka za anga kuwa ni sharti ziwe na certificate za usalama wake.
Wenzetu tukawaona watoa tahadhari ni majuha.
Kwa hali inayojitokea we have to wait to see hatua zitakazochukuliwa na government na taasisi husika...
Malofa are conveying their message. Mind you, this is the only platform that they have. This is the only opportunity for them to exploit as kura rigings is likely in the forthcoming election.
Tumeona wiki hii wazito na waalikwa ktk mdahalo ulioandaliwa na mfuko wa mwl. Walikuwa nje ya kuadhimisha miaka 14 tangu kuaga dunia. Walikwepesha kwa makusudi eti kwa kisingizio cha amani.
Leo siku ya kuadhimisha amani hiyo hiyo inatushwa. Kwa wadhifa na mamlaka amri maalum kwa uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.