Tahadhari ya utapeli kuunganishwa dstv au Bein

Tahadhari ya utapeli kuunganishwa dstv au Bein

uclan

Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
42
Reaction score
6
Napenda kuwatahadharisha watanzania wote popte walipo.
kuna tangazo kupatana linalodai kuunganishwa na dstv na Bein kwa kutumia ving'amuzi vya zuku, azam, continental. Bei ni shs 40,000 tu. Usidhubutu. Binafsi nimeliwa. Tahadhari hii ni kwako lisije kukuta.
namba yake ni 0658644118. Anasomeka kwa John Haule
 
Ni rahisi kumkamata Lema kuliko hawa matapeli.
 
Napenda kuwatahadharisha watanzania wote popte walipo.
kuna tangazo kupatana linalodai kuunganishwa na dstv na Bein kwa kutumia ving'amuzi vya zuku, azam, continental. Bei ni shs 40,000 tu. Usidhubutu. Binafsi nimeliwa. Tahadhari hii ni kwako lisije kukuta.
namba yake ni 0658644118. Anasomeka kwa John Haule
Duuu POLE SANA ALITAKA KWANZA NIWALIPE NDIPO WANIUNGANISHIE WAKAAMBILIA PATUPU KWANGU TENA USIWAPE ACCOUNT YARECEIVER YAKO AU KADI YAKO
 
Duu Asante kwa taarifa mkuu,hv Hawa Bain sports wanapatikana wapi hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom