Huyu jamaa ni kiazi sana sijui huwa anabahati gani ya kuendelea kuwepo. Si mchapakazi,si mbunifu,mropokaji, hajui cha kufanya hasa kwa jiji kubwa kama hili
Hii post sio kwa ajili ya wewe kutoa ushauri,bali ni ili wahusika ujumbe uwafikie. You sound more like a thoughtless moron kukomaa kuchangia uzi usiokuhusu
Hivi mada mnaielewa lakini au mnaandika kuonekana mnajimudu. Mimi nasomesha watoto shule 3 tofauti na wote nimewalipia laki 5 kila mmoja January hii ila hao wengine wawili shule zao hazijanifanyia ujinga na ndio maana nimeleta uzi hapa sababu pia kwenye group la shule la WhatsApp wengi ni...
Kwanini usifanye kazi zote mbili sababu wewe ni 2in1
Anyway sijawahi fanya kazi serikalini na suitokuja kufanya japo niliwahi pata nafasi ya kwenda kufundisha DIT nikaamua kubaki zangu private sector
Kuna mahali nimesema sijalipa ada? Laki 5 ni ndogo kwa mtoto kusoma wiki mbili hadi mwisho wa mwezi? Hata kama ni Biashara inategemea unaendeshaje...na mteja ndie anaefanya biashara iende...kama unadhani wazazi wakiamua wanashindwa ulizia kuna shule inaitwa Aureke kilichowakutaga hadi leo...
Hii shule ya Safi (Safi School) iliyopo makabe imekua shule ya hovyo sana kwa sasa kwenye utoaji huduma. Kwanza nikiri kilichonisukuma kuleta huu uzi ni upuuzi wao waliotufanyia wazazi hii January kutopokea watoto ambao hawajalipa ada yote.
Hapa ndio wametukera wazazi, hivi kweli mzazi unalipa...
Hawa BOT ni wa ajabu kabisa na ni kama mbwa asiyeng'ata. Kila siku napokea mameseji kutoka kwa hivi vikampuni eti nimewadhamini watu wakati hata sina mazoea nao. Yaani kwa siku napokea SMS zaidi ya 100 halafu namba tofautitofauti hadi ishakua kero. Sijui mara zimacash, mara Swift funds,mara...
Hakuna mtu atafanya kazi miezi 6 bila kulipwa akaekimya aone kawaida,ndio maana nasema hiyo hali usiifanye ionekane ya kawaida. Vyuo vingine hakuna unyanyaji wa kijinga kama wa DIT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.