Mimi ni msichana,
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni Dar es Salaam
Elimu- Diploma ya Finance
Nina mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto...