Recent content by uchochezi

  1. uchochezi

    ARUSHA: Mbunge Godbless Lema bado anasubiri dhamana, arudishwa Gerezani, Mawakili wake wakata Rufaa

    Nashauri tu wanachama,wapenzi na wafuasi wake na chama chake wangejiandaa kisaikolojia kwa kile kitakachoendelea na kuamliwa huko mbele,kesi sio ngumu ila kilichokusudiwa ndo kigumu.
  2. uchochezi

    Hili ndio Bunge la Tanzania, watanzania tustuke

    nchi ikiwa na ulojo kama huyu aliyeandika wawili tu ni mzigo sana. Sawa tunashukuru kwa uzi wako nenda kamuone mhasibu upewe kutwa yako ila jitahidi uende na 3,000 akupe 10,000 chenji zinasumbua.
  3. uchochezi

    TAFFA yawakataa mawakala wa forodha kutoka Rwanda kuja Tanzania kufanya kazi

    watu wanavyoandika kwa uchungu na hisia chaajabu wenye dhamana wamerelax tena usishangae humu kuna watu watapelekwa kwa hakimu mkazi.
  4. uchochezi

    IKULU, DAR: Wafanyabiashara/Mabalozi waahidi na kuchangia wahanga wa tetemeko la ardhi Bukoba

    leo mmechana jamaa hadi basi,lakini mkubwa hakosei.
  5. uchochezi

    Kumekucha tena: Mgogoro Tanzania na Malawi waibuka upya

    nyuma ya malawi nadhani kuna wachocheaji wahuu mgogoro,ni vizuri kukaa mezani kuliko tunavyoona vita ndio suruhisho maana tunaweza amini tunapigana na malawi kumbe tunapgana na nchi kubwa tukaishia kupoteza rasilimali watu,fedha n.k.
  6. uchochezi

    Hoja 10 kwanini Mbowe anapaswa kuacha kupotosha kuhusu uchumi

    nilijua unakuja na ushahidi wa maana kumbe bado na wewe unasimamia data za kupikwa,sawa tunashukuru nenda kasaini upate buku 7 yako mkono uende kinywani
  7. uchochezi

    Padri Mapunda akosolewa vikali baada ya kumshukia Rais Magufuli

    mkiambiwa ukweli mnamuona mtu hafai na hana akili.padri kasema ukweli mnaona analeta siasa kanisani ila angesifia mngempongeza.
  8. uchochezi

    ACT ni chama pekee ambacho ningemshauri Lipumba akimbilie huko

    jina huakisi tabia ya mtu LI-PUMBA,ukinyambulisha hilo jina utaona tabia yake na jina yanavyofanana.Ata makomeo naye mbishi kama jina lilivyo japo yeye mbaya zaidi katikati kuna kilevi ndo matokeo yake haya tunayaona
  9. uchochezi

    Kwa Mlinganisho huu wa Meli, Bandari ya Dar kuna giza nene

    povu linakutoka mkuu.hahaaaa
  10. uchochezi

    Tumtumie mama Janeth Magufuli

    huyo unayetaka amwambie mzee ata yeye anamuogopa
  11. uchochezi

    Tujifunze, Tuijadili na Kuielewa Historia ya Rais Wetu

    matatizo mengine mnajitakia tu,mnataka muanze kusumbua ndugu na jamaa zenu kuwatoa nyuma ya nondo
  12. uchochezi

    Rais Magufuli na Libya

    kura imeombwa kwa push up ulitegemea nini.
Back
Top Bottom