Recent content by uchaguz

  1. U

    Mizigo yapungua bandari ya DSM

    gari ikitoka tu bandarini....wanaichepusha.. wazambia nao ikawa wanasema inaenda drc...ikifika zambia mpakani inaingia kama transit then wanaichepusha humo zambia. basi ndio baadaye mamlaka za mapato zikaamua kwamba waagizaji watalipiA kodi zao tanzania...wakitoka bandari ya dar wawe washalipa...
  2. U

    Mizigo yapungua bandari ya DSM

    tatizo kuna watu wanaandika wakiwa na hasira zao kuhusu yaliyotokea zanzibar....na wanatamani kila leo tuongelee hayo kama vile demu aliyeachwa anavyotamani mida yote muongelee habari za huyo mpenzi wake! nakubaliana na aliyesema mambo ya ki fisadi ndiyo yaliyokuwa yakishamirisha mizigo mingi ya...
  3. U

    Magufuli Kumbe Huna Maadili wala Heshima, Hufai kuwa Rais

    Hiyo ndo siasa bwana mdogo Mwaka huu chadema wanajifanya ni wapoleee na wastaarabu...kisa wamebeba bomu wakitaka wapande nalo kwenye ndege....mgombea urais waliyemnadi wao wenyewe kwamba ni fisadi...na kwa bahati mbaya zaidi..mgombea huyu ki afya hayuko sawa.....sasa mnataka ccm wasitumie hayo...
  4. U

    Taarifa za Habari leo zatawaliwa na wananchi maelfu kuhama toka CCM kwenda CHADEMA

    Ccm itashinda Hayo mengine yooote ni vinogesho vya safari ya ushindi Na inaeleeeweka Ccm itashinda Na upinzani lazima utalalamika ati umeibiwa kura Hivyo hakuna jipya
  5. U

    Hatuwezi kuiondoa CCM madarakani kwa wimbo wa ufisadi,tunahitaji watu wenye ushawishi

    Msijidanye nyie Wimbo wa ufisadi ndio uliopandisha chati upinzani nchi hii... Na wimbo huu huu ndio utakaoshusha chati ya upinzani Ukiimbwa.....chati Usipoimbwa....chali Salary slip...hakuna kosa kubwa kama hili la chadema kumpokea lowasa
  6. U

    Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

    Hahaha
  7. U

    Njia itakayotumika kuiba kura baada ya njia ya kuongeza kura hewa kugundulika

    Ki uhalali kabisa hata bila kuibiwa kura moja...lowasa atashindwa Kuiba lazima muibiwe...lengo likiwa ni kuwadhoofisha msipate ruzuku nyingi..ili muingie kwenye mtafaruku wa kugawana kido cho ndani ya ukawa
  8. U

    Ni kweli Chadema hakuna personel? Ni kweli kuwa hakuna aliyefaa kuwa Rais wa JMT ndani ya CHADEMA?

    Halafu sijui mtasema na hili la lowasa kuja ccm ni mipango ya ccm?....mjifunze kula jeuri yenu...upinzani bado saana kuchukua nji hii
  9. U

    Kinana awaita Makapi wote waliochujwa na CCM kwenye Uchaguzi wa ndani

    Si kweli alimaanisha wote ....makapi yanajijua Hivi wewe umewaona wote waliokuja chadema? Wote. Wale wLiokuwa wanahisi ndani ya ccm hawatakwi....kuanzia lowasa Huwezi sema ati bilal pinda ni makapi...kwani hao wanaelewa wanatakiwa, ila hawawezi kuwr po ma zaidi ya mmoja Wana ccm wanaelewa...
  10. U

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Tatizo ni kwamba siku zote chadema wamejifanya wao malaika na kuwaaminisha watu hivyo, hasa kwa sababu wamekuwa wakiitumia muda meingi kuelezea kwamba ccm ndiyo yenye makosa hata pale ambapo wao nndio wamekosea.....sasa hata katika sakata hili..badala ya kukiri makosa yao...wao wanadhani...
  11. U

    WanaCCM, na wafuasi wa Lowassa, mamilioni kuhamia CHADEMA wiki ijayo

    Kninadhani jamii forums watu waliumia sana ccm ilipoweza kumkata lowasa. Hivi sasa ile after shock inawafanya watu wengi watake kusikia baya lolote limewatokea ccm Ndio maana jamiiforums haiishi watu kuandika kile ambacho wangefurahia sana kukisikia Hivi ni nani aliyedhania lowasa baada ya...
Back
Top Bottom