Habari wakuu,
Nimekuwa nikiskia sana kuhusu baadhi ya watu wakikamatwa na polisi na kupelekwa mahakamani kwa kosa la kutakatisha fedha.
Wengine shughuli zao za kuwaingizia pesa ni za kawaida kabisa lakini wanafunguliwa kesi za kutakatisha fedha.
Je, Nini mamana halisi ya kosa la utakatishaji...
Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.