Recent content by Ubuyu mchafu

  1. U

    Kosa la kutakatisha fedha, nini maana yake?

    Habari wakuu, Nimekuwa nikiskia sana kuhusu baadhi ya watu wakikamatwa na polisi na kupelekwa mahakamani kwa kosa la kutakatisha fedha. Wengine shughuli zao za kuwaingizia pesa ni za kawaida kabisa lakini wanafunguliwa kesi za kutakatisha fedha. Je, Nini mamana halisi ya kosa la utakatishaji...
  2. U

    Nahitaji gari, toyota vits

    Habari wakuu Nahitaji vits ya bei rahisi ya kunirahisishia mizunguko hapa Dar. Kama unauza nipe namba yako nikupigie
  3. U

    Nawachukia sana Polisi

    Nimeshindwa kutoa maelezo mengi kwasababu kesi bado ipo mahakamani
  4. U

    Nawachukia sana Polisi

    Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana. Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania. Hawakutaka kuniachia, hawakutaka...
Back
Top Bottom