Recent content by ubarinolutu

  1. U

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Huelewi unachokiongea
  2. U

    JamiiForums Tanzania Lake zone Huu utaribu mmeiga wapi, pub, Bar Eti unalipia 10,000 unamtoa mhudumu

    Mchango wako upo nje ya mada, wa dar hawana
  3. U

    JamiiForums Tanzania Lake zone Huu utaribu mmeiga wapi, pub, Bar Eti unalipia 10,000 unamtoa mhudumu

    Eti wafanyakazi wanalipiwa 10000 anatoka muda wowote Kwa kisingizio hiyo 10,000 ya kutafuta mbadala wake
  4. U

    JamiiForums Tanzania Lake zone Huu utaribu mmeiga wapi, pub, Bar Eti unalipia 10,000 unamtoa mhudumu

    Walevi Oyee, Wakeshaji Safi, CCM , CHADEMA, ACT CHAUMA OYEEE, Huku kwenye mabaa hamna mambo ya uchama. Sasa walevi , wale wa kukesha kwenye bar, Pub nilitembea mikoa ya kanda ya ziwa huko Kagera, mwanza, mara, kigoma, katavi , rukwa nilishangaa utaratibu wa bar za huko, Sasa sijui upande wa...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Fuatilia , vitol ni kampuni ya kununua na kuuza mafuta, hivyo ananunuaga mafuta Kwa dangote na kupeleka ulimwenguni
  6. U

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Tarehe 29 imeingiaje hapa, vibaka je
  7. U

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Ccm na chadema vinaingiaje hapa
  8. U

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    hii ni kweli jamaa angu alipiga konyagi akaangukia kisogo akafariki
  9. U

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Mimi naomba kusema wazi kuwa mimi si mtaalamu wa Mambo.ya energy wala mtaalamu wa mambo ya kiuchumi. Lakini najiuliza ukanda wetu wa east africa kwa uchumi wake huu inahitaji refinery mbili, tena zilizojirani zenye thamani ya Dola bil20 kila moja ili iweje, au ndo mambo ya kitanzania jirani...
  10. U

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    HUJAWEKA TARIFF 6, UNAYOTUMIA WEWE KAMA MFANYAKAZI WA TANESCO, UNIT 750 KWA TSH 8500 AU NI SIRI
  11. U

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    MIMI SIO TANESCO LAKINI NAKUJIBU NINACHOKIJUA 1. KUNA TARIF 1 YA KAWAIDA , MATUMIZ YA NYUMBANI NA VIWANDA VIDOGO BEI NDO HIYO 353 NA VAT 2. KUNA TARIF TWO HAWA NI KUANZIA WATU WENYE MATUMIZI YA UNIT 7500 KWA MWEZI, MARA NYINGI NI VIWANDA VYA KATI, BEI YAO IPO CHINI KIDOGO MAY BE 250-275 3. KUNA...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    kizimkazi balaa
  13. U

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Vijiji vya makete mbeya vijijini na tukuyu ni vijiji jirani kama ubungo tanesco na ubungo stend ya zamani, nadhani mnanielewa
  14. U

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Sasa hapo makete kuna eneo ukipiga hatuna 10 umefika mbeya vijijini, pia kina eneo ukipiga hatuna 10 umefika Tukuyu
Back
Top Bottom