Recent content by ubarinolutu

  1. U

    JamiiForums Tanzania Polisi wa kiume wajifanya wanawake ili wamkamate muuzaji wa madawa ya kulevya nchini Thailand

    Na hii biashara walianzisha CIA
  2. U

    JamiiForums Tanzania KERO Kodi ya Mabango ni kero hapa Tabora

    Yakweli haya , wajinga sana
  3. U

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini miaka ya hivi karibuni Wanawake wengi wanajifungua kwa kisu (oparesheni)?

    Kiukweli Kuna wakati inabidi, mfano mke wangu tuna watoto watatu, wa kwanza kawaida, wa pili kisu, mtoto alikaa vibaya japo wote tulitaka azaliwe kawaida ila ilishindikana, mpaka dk wangu akaongea na madaktari bingwa muhimbili na kcmc wakashauri Kwa usalama ni kisu, watatu akazaliwa kawaida...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Naona si sawa Kwa Wananchi kulalamika posho za watumishi na Viongozi Gavoo

    Yani Mimi Nina bar, nauza sana watumishi wakilipwa maposho, Tena kama kapata safari ya kikazi, wanakunywa Hennessy tu
  5. U

    JamiiForums Tanzania Naona si sawa Kwa Wananchi kulalamika posho za watumishi na Viongozi Gavoo

    Kwanini wananchi Huwa tunaumia bila sababu pale watumishi wa Serikali pamoja na baadhi ya viongozi wakiwa wanalipa posho. Mimi naona asilimia kubwa ya watanzania ni wakulima na wafanyabiashara , na wateja wengi wa biashara zetu ni watumishi, mkisema wasipewe posho hayo maduka , na biashara...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Msako wa kudili na waliochochea maandamano sasa umefika ndani ya chama tawala, milio itasikika soon

    kwamba, wakubali tu Namba moja kajipiga kidole hilo la kuua watu
  7. U

    JamiiForums Tanzania Why Samia Anaiogopa Ikulu ya Dar?, je ndo rasmi Serikali imehamia Dodoma

    Kumekuwa na malalamiko muda mrefu kwa matumizi makubwa ya pesa za Umma toka ikulu ihame dae kwenda Dodoma, Kwani Rais Samia alipendelea sana kufanyia kazi ikulu ya Dar kuliko ile ya Dodoma, hivyo kusababisha viongozi wengi wa serikali kulipwa pesa za safari nyingi. wanapokuwa ikulu ya Dar. cha...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Andambwile Vs Kagoma who wins?

    Sasa Tanzania ndani ya nchi yetu tumepata top top Defensive Midifielders, vijana wenye nguvu kweli kweli, mmoja Akitokea Simba Sports Club kwa jina Akijulikana kama Yusuph Kagoma Mvunja Kuni, na mwingine akifahamika kwa jina Aziz Andambwile A.k.a PLC. vijana hawa ni wataalamu wa kukaba na...
  9. U

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Yalaani Uvamizi wa Ofisi za Jamii Forums, Yataka Ufafanuzi wa Serikali

    hivi gerson msigwa ndo.serikali, mjinga mmoja hawezi kujifanya ye.ndo.serikali kujibu kila kitu
  10. U

    JamiiForums Tanzania Kuna A -X

    abduli huyo na mama yake. wazanzibar wanaotutesa watanganyika
  11. U

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gombo: Nikiwa Rais namwachia huru Tundu Lissu,Atengeneze katiba mpya

    duh, mi nikiwa Rais namuua Kikwete, Samia, GSM na Rostam, hapo nitakuwa n amani
Back
Top Bottom