Dodoma, utaambiwa hii Gorofa anajenga boss wa tume ya uchaguzi, utaambiwa hili gorofa la waziribwa mambo ya ndani wa zamani, utaambiwa hili gorofa anajenga waziri wa flani,
Nawashangaa sana watu wanaoibeza Dodoma , na kujaribu Kuidogosha Kwa mbali Dhidi ya Mwanza.
Kwa mlio na ufahamu na Dodoma ,na Mwanza Mtakubaliana na Mimi kuwa Dodoma inakuwa Kwa Kasi na Inaenda kuipiku Mwanza Kwa kuwa Jiji namba Mbili, baada ya Dodoma kuipiku Arusha Tayari.
Ndani ya Miaka 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.