Recent content by ubarinolutu

  1. U

    JamiiForums Tanzania Nchi imeharibika sana hii,kila jambo linaenda kiholelaholela

    Usipoenda kutoa pole unafutwa kazi, uchawa wa kiwango Cha SGR
  2. U

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Washukuriwe mafisadi
  3. U

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Muda mrefu sana
  4. U

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makao makuu ya mikoa ambayo bado yapo nyuma kimaendeleo

    Dodoma imejengwa na Mafisadi, kila ukipita hili gorofa la waziri, sijui chawa gani
  5. U

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Sukari Rufiji kutengeneza Ajira zaidi ya 5,000

    huo mradi lazma mafisadi wana.stake zao
  6. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Mafisadi wamewekeza sana Dodoma, Mpaka Gym za kisasa zinafunguliwa mjini
  7. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    mpangilio ni huu 1.Dar 2.Mwanza 3.Arusha 4. Dodoma 5.Moro 6. Mbeya 7.Tanga
  8. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Mfano Rahisi ni robo tatu ya Hotel sio lodge Wala guest ,Kwa mkoa wa Dodoma zinamilikiwa na Mafisadi, ambao ni mawaziri etc
  9. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Bila mafisadi kungekuwa Hoi kama Morogoro
  10. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Dodoma, utaambiwa hii Gorofa anajenga boss wa tume ya uchaguzi, utaambiwa hili gorofa la waziribwa mambo ya ndani wa zamani, utaambiwa hili gorofa anajenga waziri wa flani,
  11. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Nawashangaa sana watu wanaoibeza Dodoma , na kujaribu Kuidogosha Kwa mbali Dhidi ya Mwanza. Kwa mlio na ufahamu na Dodoma ,na Mwanza Mtakubaliana na Mimi kuwa Dodoma inakuwa Kwa Kasi na Inaenda kuipiku Mwanza Kwa kuwa Jiji namba Mbili, baada ya Dodoma kuipiku Arusha Tayari. Ndani ya Miaka 5...
  12. U

    JamiiForums Tanzania ND7GU YANGU WA DAMI AMESHAPOTEZA KUMBUKUMBU HANIKUMBUKI TENA. HOSPITALI WANASEMA NI TATIZO LA UBONGO; WHITE MATTER. Nifanye nini mwenzenu,

    Hiyo ni dementia, hasa wagonjwa wa sukari wa muda mrefu pia wazee sana, wanapata, na ni kawaida, endeleeni kumuangalia vizuri tu,
  13. U

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa

    Nina Laki moja, niuzie
  14. U

    JamiiForums Tanzania Picha za machawa mbalimbali wa mama

    Chawa namba Moja ni Kihongosi na chalamila
Back
Top Bottom