Kiukweli Kuna wakati inabidi, mfano mke wangu tuna watoto watatu, wa kwanza kawaida, wa pili kisu, mtoto alikaa vibaya japo wote tulitaka azaliwe kawaida ila ilishindikana, mpaka dk wangu akaongea na madaktari bingwa muhimbili na kcmc wakashauri Kwa usalama ni kisu, watatu akazaliwa kawaida...
Kwanini wananchi Huwa tunaumia bila sababu pale watumishi wa Serikali pamoja na baadhi ya viongozi wakiwa wanalipa posho.
Mimi naona asilimia kubwa ya watanzania ni wakulima na wafanyabiashara , na wateja wengi wa biashara zetu ni watumishi, mkisema wasipewe posho hayo maduka , na biashara...
Kumekuwa na malalamiko muda mrefu kwa matumizi makubwa ya pesa za Umma toka ikulu ihame dae kwenda Dodoma, Kwani Rais Samia alipendelea sana kufanyia kazi ikulu ya Dar kuliko ile ya Dodoma, hivyo kusababisha viongozi wengi wa serikali kulipwa pesa za safari nyingi. wanapokuwa ikulu ya Dar.
cha...
Sasa Tanzania ndani ya nchi yetu tumepata top top Defensive Midifielders, vijana wenye nguvu kweli kweli, mmoja Akitokea Simba Sports Club kwa jina Akijulikana kama Yusuph Kagoma Mvunja Kuni, na mwingine akifahamika kwa jina Aziz Andambwile A.k.a PLC. vijana hawa ni wataalamu wa kukaba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.