Recent content by tzhosts

  1. tzhosts

    Mnada wa Tovuti-Jipatie ya kwako kwa Shilingi 165,000 tu

    Je Wewe ni miliki wa biashara Wasiliana nasi ili ushiriki katika mnada wa tovuti za vikoa vifuatavyo: mybusiness.africa mybusiness.website mybusiness.site mybusiness .co.tz Wasiliana nasi kupitia whatsapp 0715323060 Ufurahie Huduma Bora. Mwisho wa Promotion hii ni Tarehe 10June 2025
  2. tzhosts

    Tunatoa huduma za Cloud Server Configuration

    Tupo hewani Boss
  3. tzhosts

    Tunatoa huduma za Cloud Server Configuration

    Habari; Je unahitaji kuweka mifumo yako ya biashara mtandaoni?Je unahitaji kununua Cloud server kwa ajili ya Biashara yako? Wasiliana nasi kwa email: expertstanzania@gmail.com au tupigie 0715323060
  4. tzhosts

    Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

    Mkuu hakuna hidden fees Mkuu,Si umeidownload na ukainstall kwani umeona any hidden fees?Ila ukihitaji Technical support kama installation,configuration na user training ndio kuna gharama.
  5. tzhosts

    Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

    Mfumo huu una Options 3: Option ya Kwanza ni mfumo offline ambao unakuwa ni Free Option ya Pili ni Cloud Based ambayo unalipia shared host au self hosted Cloud Based ambayo inakuja pamoja na huduma za kihasibu kama vile kuandaa returns na kufile Taxes mbalimbali. Kila Option hapo inakuwa na...
  6. tzhosts

    Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

    Mkuu Ikiwa Cloud unakuwa unalipia kila mwaka.Ila kama ni offline unalipia Mara Moja tu kwa mwaka
  7. tzhosts

    Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

    Tembelea manager.io udownload offline version uione.
  8. tzhosts

    Tanzania Programmers ni kweli tunafeli ni kweli hatuna uwezo wapi tunapokwama, nini kifanyike?

    Wazo ni zuri.Swali ni Je nani atalipia Gharama za kuutengeneza?Je Ukishatengeneza Mfumo huo utaingizaje Pesa?Je umiliki na usimamizi wa mfumo husika pamoja na taarifa utakuwa chini ya nani?
  9. tzhosts

    Tanzania Programmers ni kweli tunafeli ni kweli hatuna uwezo wapi tunapokwama, nini kifanyike?

    Hiyo Project sio ndogo ya kumpa mtu mmoja.Hiyo ni Project ya TIMU ya Developers
  10. tzhosts

    Tanzania Programmers ni kweli tunafeli ni kweli hatuna uwezo wapi tunapokwama, nini kifanyike?

    Mkuu nafikiri tatizo la Programmer wengi Tanzania ni kama hili la kwako.In short mm ninalo wewe unalo.
  11. tzhosts

    Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

    Habari za wakti huu; Je Biashara yako inahitaji TOVUTI? Je Biashara yako inahitaji mfumo wa Utunzaji wa kumbukumbu na uhasibu? Je Biashara ya inahitaji mfumo wa kutoa risiti za EFD? Je Biashara inahitaji kitu au huduma yoyote ya kiteknolojia? Kama Jibu ni Ndio Wasiliana nasi kwa simu au...
  12. tzhosts

    Mke wangu ameweka kijiti cha uzazi wa mpango bila kunishirikisha tena nkiwa mbali kwa miezi minne

    Hamna shida yoyote mtoto bado mdogo.Anafanya Family Planning na kuhakikisha Pia kwamba anakupa.Miezi nne mingi.
  13. tzhosts

    Nahitaji kuprint kitabu

    Hatua ya kwanza: Untafuta Publisher Yeye ataingia makubaliano na wewe kisha atamaliza yote: Ama Uende Pale Maktaba Kuu uombe ISBN kisha Ukishaipata ISBN yako unaenda kwa Printer Moja moja(self Publishing) Pia unaweza Publish Digitally nakuuza kitabu chako online
Back
Top Bottom