Sasa hayo unamuuliza nani? Nachojua mimi imani hailazimishwi ni vile ukiona umeshawishika nayo unaamini na ukiona hujashawishika hujaelewa unaachanayo nayo. Kama mfumo wako wewe umejiwekea kwamba ili uamini kitu lazima umjue aliyebuni na lengo lake mbona kuna imani nyingi tu ambazo waanzilishi...
Ishu sio hizo habari unazopewa hawazijui vizuri bali hapa kuna ishu ya uwepo wa maswali ya ziada kuhusu Mungu ambayo unataka ujibiwe, na ni maswali ambayo hayazuii wewe kuelewa na kuamini hizo habari unazopewa na hao watu.
W
Wewe mkuu ambaye unaona kwa sasa Serikali inafanya vizuri na tena ina kasi zaidi kwenye maendeleo kuliko wakati wowote kisa tu ipo chini ya Samia ndio unataka kutuambia ukiwa Rais utafanya makubwa kwenye maendeleo ya nchi?
Mkuu si kwamba hawa viongozi tunaowalaumu humu hawana maneno mazuri...
Ndio maana mie naona hii nchi inahitaji fikra mpya na na sio kuishia kufikiria sijui et tatizo ni ccm na hayo mnayo orodhesha, hiyo ccm ni matokeo ya tatizo na si kwamba ndio tatizo lenyewe kiasi cha kufikiria kwamba et ikitoka madarakani ndio kila kitu kitakaa sawa ni kujidanganya sioni hizo...
Hafai kuwa kiongozi wa wapi au akina nani? Hilo ni la msingi kujiuliza, kwa nchi kama Tanzania sidhani kama Makonda hafai labda ingekuwa nchi nyengine. Ndio maana hapo wengine wanakwambia pengine Rais mwenyewe ndio anamtuma Makonda kufanya hicho anachofanya.
Vizuri kumbe unajua swali hilo kuhusu shuka la Samia kuna watu maalumu wa kuulizwa na si yeyote tu atakuwa na hilo jibu, sasa na hayo maswali kuhusu Mungu pia utizame ni yupi sahihi atakuwa na jibu ya hayo maswali.
Matumizi mabaya ya serikali kwa kodi zetu hupoteza kabisa uhalali wa kutumia nguvu kukusanya hizo kodi. Yani itumike nguvu ili ipatikane pesa ya kuwalipa akina Salma Kikwete pasina kufanya kazi yeyote si sawa kabisa.
Nawaza tu hii kauli ya mtangulizi wake Magufuli unaweza kukuta hadi Samia atamaliza muda wake na kuingia mwengine ila bado tutaendelea kusikia mtangulizi Magufuli.
Mimi nakuhusia ukiwa bado upo hai ili ujitizame kama una dhambi upunguze kama si kuacha kabisa wala sisubiri hadi ufe ndio nianze kukusema, muhimu ni kwamba kutokuwa ccm au kutoshiriki uchaguzi wa mauwaji hakukufanyi kuwa wewe ni mtakatifu maana haya mambo ya siasa kuna wakati tunajikuta tunaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.