Ushaambiwa walikuwa kwenye banda la kuonyesha mpira wanaangalia mpira, issue ni kwamba jamaa walikuwa wanatekeleza amri ya kuuwa tu hapo ndio shida ilipo na ndio maana wameuwa hadi waliyokuwa majumbani mwao.
Watu hawana silaha za zamoto na wamekupa mgongo wanakimbia wako mbali kabisa ila...
Ushaambiwa walikuwa kwenye banda la kuonyesha mpira wanaangalia mpira, issue ni kwamba jamaa walikuwa wanatekeleza amri ya kuuwa tu hapo ndio shida ilipo na ndio maana wameuwa hadi waliyokuwa majumbani mwao.
Watu hawana silaha za zamoto na wamekupa mgongo wanakimbia wako mbali kabisa ila...
Ushaambiwa walikuwa kwenye banda la kuonyesha mpira wanaangalia mpira, issue ni kwamba jamaa walikuwa wanatekeleza amri ya kuuwa tu hapo ndio shida ilipo na ndio maana wameuwa hadi waliyokuwa majumbani mwao.
Watu hawana silaha za zamoto na wamekupa mgongo wanakimbia wako mbali kabisa ila...
Ushaambiwa walikuwa kwenye banda la kuonyesha mpira wanaangalia mpira, issue ni kwamba jamaa walikuwa wanatekeleza amri ya kuuwa tu hapo ndio shida ilipo na ndio maana wameuwa hadi waliyokuwa majumbani mwao.
Watu hawana silaha za zamoto na wamekupa mgongo wanakimbia wako mbali kabisa ila...
Kuna kugombaniwa halafu kuna demu kukung'angania wewe kama vile kakulipa, yani unakuta umeshasogea zako pembeni na nyuma yake yupo jamaa mwengine ila hataki kubambiwa nae anajisogeza hadi wewe ulipo.
Wanawake ndio wahusika wakuu wa huo mchezo, ni nadra sana mwanamke afanyiwe hivyo na awe hapendi ila akatulia labda kuwe hakuna kabisa nafasi ya kusogea.
Ilishindikana nini kuwakamata hao waliyokuwa kwenye banda la mpira kama walivyokamatwa wale wengine ambao mkawaachia tu?
Watu hawana silaha wewe unaanza kuwamiminia tu risasi, sasa hapo kweli unapambana na wahalifu au upo kwenye zoezi tu la mauwaji?
Wakina Sheikh majini na wengineo walitii...
Sasa kumbe idadi kubwa ya waliyouliwa walikuwa hawana hatia. sasa wewe uende kuuwa watu hadi majumbani kwao, kwenye vibanda vya kutizama mpira na kila anayeonekana mtaani halafu wewe uje kusema wote walikuwa wahalifu na walipaswa kuuliwa.
Yani shida mnapohalalisha hayo mauwaji mnataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.