JF ipo wazi kwa mtu yoyote atakaeweza kuifungua,,so hakuna alieiba habari yoyote kutoka JF. Kama mtu anajua kusoma na kuandika basi hata akichukua taarifa yoyote kutoka jf huwezi kumuhukumu.
Ni kweli kabisa kwamba watu wamemchafua JK na kumkosea heshima. Ukitaka kuhakikisha juu ya hilo pitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.