Mawazo ya Magu ni huru,ila sio mawazo ya watz wote,,,,,kwangu mimiEL na Sumaye ni bora Mara 20000 kwa huyu aonae makosa na kunyamaza.
Anamsifu maana kanyamaza kumbe kwa mkuu wa nchi yetu anaenyamaza ndo kiongozi bora duu
Pascal Mayalla Una mawanda mapana y kufikirisha,lakini pia kuwafanya watu wenye mawazo huru( objective) kupima na kutoa jibu.Mimi sitatoa jibu.Lakini tayari ushaitwa katika kamati hiyo ya maadili ya bunge, jipange kujibu hoja zao.
Nimalizie kwa kusema baadhi ya wabunge wanajipendekeza mnooo kwa...
Ujinga sio tusi,pili ameweka bayana kuwa wale wanaoupuuza,kuukejeli na kuupotosha waraka ule wa Kiaskofu,hajamtukana MTU,vipi unahusika nini???pili tambua ule wakala sio wa Shoo,unapigiwa kura na maaskofu ndio unatoka.
Lakini vyovyote alivyosema sio tatizo,je yaliyonyoshewa vidole katika waraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.