Recent content by Tyrone Kaijage

  1. Tyrone Kaijage

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Kama huna mpango wa kuoa basi ondoa mpango wa kutomba wake za watu,….chukua jamaa kashakuachia. Unajua umepoteza ramani za watu wangapi hapo maishani. 1.Mwanamke kujutia kwa kuwa utamuacha 2.Watoto kuishi bila ya mama 3.Mwanaume, umemvunjia familia na umekiri kutumia mpaka pesa zake. Hapo kuna...
  2. Tyrone Kaijage

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Why unawaza tuvae uhusika wako!? Sisi tunavaa uhusika wa yule uliyemtombea mke wake, ilhali unasema pia huna mpango wa kuoa leo wala kesho,!?
  3. Tyrone Kaijage

    Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

    Ila katika mikoa yenye rekodi nzuri ya ulipaji kodi Pwani haiko mbali, sijajua inakuwaje hapo? Achana na hao Lindi na Mtwara…..
  4. Tyrone Kaijage

    Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

    Kuna interview moja mchungaji Hananja anajibu vizuri hii hoja yako, watu wa Pwani ndio wenyeji wa Dar, tangu enzi na enzi darasa la nne anakula maisha bandari au kwa wawekezaji walioanzia Dar, wewe unawaza maendeleo ni kuwa na miparachichi mingi …..
  5. Tyrone Kaijage

    Nini asili ya neno bodaboda?

    Kwa hiyo ni AKA Chochochocho?
  6. Tyrone Kaijage

    Tusinunue vitu Used jamani

    Maanina nimesoma comments ndio nishaachwa Hahahaha!……used kiasi hata bikra ya kinyeo hakuna
  7. Tyrone Kaijage

    Tusinunue vitu Used jamani

    Umeandika hii ppst ukiwa kwenye gari mpya gani? Au unategemea kupanda gari mpya gani?
  8. Tyrone Kaijage

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Ndiko yalipo makazi ya familia ya raia namba mbili wa nchi, tena ni Chanika mwisho unasogea mbele zaidi
  9. Tyrone Kaijage

    Anataka kuongeza mke kwasababu alie nae hamboost kiuchumi hana nyota

    Mila zao zinatoa sababu gani ili kuoa ndoa ya pili? Zinasemaje kuhusu kuishi na ndugu wa mke? Kama anatumia mila basi aende kimila na kama anatumia dini basi aende kidini na kama anatumia ucheki bobu base iwe hivyo.
  10. Tyrone Kaijage

    Hivi nchi hii inashindwa kuwakaribisha Spain/Brazil/ England/ France kujenga academy hapa nchini ili kuvumbua, kulea na kukuza vipaji vya football?

    Yule aliyetaka kuwa Dictator ange dictate mpaka CCM halafu tungeona labda tungeonja ladha nyingine tungetoka kwenye comfort zone ya tunayoiita amani while bado tunalia lia
  11. Tyrone Kaijage

    Nimekubali huyu binti bikra anazitesa hisia zangu. Nimekubali nimekamatika. Natamani kutoka lakini nashindwa sijui nifanye nini

    Ana umri gani? Kama yuko kwenye age na utayari wa kuolewa,na kama una nia kweli ya kumuoa,usimle fata process.... Kuna raha na hali fulani ya kuitoa bikra ndoani
  12. Tyrone Kaijage

    Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

    Je hata siku ambazo huwa mko wote nyumbani?
  13. Tyrone Kaijage

    Msaada: Kuondoa utelezi maji ya mvua

    Tia Chumvi kiasi fulani yanafanya kuondoa utelezi na yaweza kukaa muda mrefu bila kuzalisha wadudu
  14. Tyrone Kaijage

    CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, huyu wa Kizimkazi asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

    Kero ni kubwa sana, 1961-2024 bado hatuna 1.umeme wa uhakika. 2.maji ya uhakika, nchi ya maziwa makuu 3.huduma za afya za uhakika 4.miundo mbinu bora Umaskini,Maradhi,Ujinga na sasa Adui mpya Ufisadi
Back
Top Bottom