Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
Pia, kuna wanawake pia kwenye hizi hizi scenario huwa ni wapo kwa kujiegesha uwasaidie kusukuma life la watoto wao ila baadae wanagandisha akili watoto kuwa huyu sio baba yako, wakati kwa maisha ya sasa baba sio kutia na kuzalia bali ni kulea pia.
Kama huna mpango wa kuoa basi ondoa mpango wa kutomba wake za watu,….chukua jamaa kashakuachia.
Unajua umepoteza ramani za watu wangapi hapo maishani.
1.Mwanamke kujutia kwa kuwa utamuacha
2.Watoto kuishi bila ya mama
3.Mwanaume, umemvunjia familia na umekiri kutumia mpaka pesa zake.
Hapo kuna...
Kuna interview moja mchungaji Hananja anajibu vizuri hii hoja yako, watu wa Pwani ndio wenyeji wa Dar, tangu enzi na enzi darasa la nne anakula maisha bandari au kwa wawekezaji walioanzia Dar, wewe unawaza maendeleo ni kuwa na miparachichi mingi …..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.