Kama huna mpango wa kuoa basi ondoa mpango wa kutomba wake za watu,….chukua jamaa kashakuachia.
Unajua umepoteza ramani za watu wangapi hapo maishani.
1.Mwanamke kujutia kwa kuwa utamuacha
2.Watoto kuishi bila ya mama
3.Mwanaume, umemvunjia familia na umekiri kutumia mpaka pesa zake.
Hapo kuna...
Kuna interview moja mchungaji Hananja anajibu vizuri hii hoja yako, watu wa Pwani ndio wenyeji wa Dar, tangu enzi na enzi darasa la nne anakula maisha bandari au kwa wawekezaji walioanzia Dar, wewe unawaza maendeleo ni kuwa na miparachichi mingi …..
Mila zao zinatoa sababu gani ili kuoa ndoa ya pili? Zinasemaje kuhusu kuishi na ndugu wa mke?
Kama anatumia mila basi aende kimila na kama anatumia dini basi aende kidini na kama anatumia ucheki bobu base iwe hivyo.
Yule aliyetaka kuwa Dictator ange dictate mpaka CCM halafu tungeona labda tungeonja ladha nyingine tungetoka kwenye comfort zone ya tunayoiita amani while bado tunalia lia
Ana umri gani? Kama yuko kwenye age na utayari wa kuolewa,na kama una nia kweli ya kumuoa,usimle fata process.... Kuna raha na hali fulani ya kuitoa bikra ndoani
Kero ni kubwa sana, 1961-2024 bado hatuna
1.umeme wa uhakika.
2.maji ya uhakika, nchi ya maziwa makuu
3.huduma za afya za uhakika
4.miundo mbinu bora
Umaskini,Maradhi,Ujinga na sasa Adui mpya Ufisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.