So it happens Mheshimiwa Rais Magufuli wa right kuhusu hawa wachina kujiingiza na kutaka kuichukua Tanesco kwa mlango wa nyuma.
Makampuni ya kichina kwa kushirikiana Ubalozi wao na baadhi ya vigogo wa Tanesco na Wizara ya nishati wamekuwa wakiwapiga presha ili wizara ya fedha iidhinishe na...
Ninavyfahamu ni kuwa sheria ziko wazi kuwa hairuhusiwi kufuga wanyama/mifugo kama vile kuku, ngombe, mbuzi, kondoo etc uraiani kwa sababu za kiafya, usalama, utaratibu n.k
sasa cha ajabu ukienda Masaki, Mikocheni, Mbezi nk unakuta mifugo inafugwa (sehemu ambaz hazina malisho) au inavuka...
Dar is a poisoned chalice. You walk in with clean hands (not that Bashite had any) but you walk out of it smelling like a skunk.
Magufuli should have given us someone mwenye vision ya 21st Century ambaye angeweza kuliendesha hili Mega City ambalo linakimbilia kuwa na watu si chini ya milioni 6...
Kuna msemo unasema Kheri hutoka kwenye tumbo la shari
Kama kweli walipewa option ya kujengewa University wakachagua msikiti na kama kweli waliomba kupeleka bakuli kwa Ngosha akawachomolea sioni kwa nini waendelee kuongoza hao wanaowaongoza
hivi kweli bakwata wana mali nyingi kiasi hicho ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.