Recent content by Tyanyi

  1. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    Mkuu ikishindikana kuna mlango wa pili mungu atasaidia utafunguka tu, nitaomba ajira kama CO, then nitatumikia ajira yangu b4 cjamaliza miaka 3 ili niruhusiwe kwenda kusoma, nitaristi hayo masomo mawili, ili badae nitaenda kusoma MD nikiwa in service pia nikiwa na vigezo vya ENG na B/MATH.
  2. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    Nina diploma ya CLINICAL MEDICINE. GPA 4.6 O_level matokeo. Ndo PCB ni alama C Eng -E B/Math -F Ndo nilikuwa nauliza vp kuna uwezekano wa kusoma MD chuo chochote grv or priv
  3. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    2014 matokeo yalitoka kwa mfumo wa GPA
  4. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    Vya private system inagoma ksubmit application. ikishindikana nitarud kuristi masomo mawili Eng na B/Math.
  5. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    I mean O_level ndo E inahesabika kama satisfactory
  6. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    Wanazingua sana bora wangekataa mapema ili kama ni kurudia hayo masomo mawili nirudie mapema
  7. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    Tyr mkuu ila nina wasi wasi na hiyo E ya Eng pamoja na F ya B/math maana TCU wanataka hayo masomo angalau uwe na alama D
  8. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Medical Doctor? intake ya 2020/2021?

    TCU wanataka PHY, CHM, BIO, B/MATH na ENG yote uwe na angalau alama D ila Mm Clinical medicine diploma nna GPA -4.6 O_level Phy-C Chm-C Bio-C Eng-E B/Math-F
  9. Tyanyi

    Naweza kupata chuo kusoma Udaktari 2020/2021?

    TCU wanataka PHY, CHM, BIO, B/MATH na ENG yote uwe na angalau alama D Ila mimi Clinical Medicine diploma nna GPA -4.6 O_level Phy-C Chm-C Bio-C Eng-E B/Math-F
Back
Top Bottom