Ktk maandiko ya vitabu ninayoyapenda basi ni yale yanayomhusu yesu. mahali fulani anasema hakuja kwa walioshiba bali wenye njaa.INAFIKIRISHA. Shonza, mwampamba na wengine wengi wanajionaje? Kwa uelewa wangu WANAJIONA WAMESHIBA NA HATIMAYE HAWATAKI KUJUA NJAA YA WATANZANIA MASIKINI WASIO JUA...
Mm ningependa badala ya watu km mwampamba au shonza kutuletletea habari za ulijali au uzao wa slaa wangekuwa wanatuletea suluhisho la masuala km haya ili tuamin kwamba kweli wao wana uchungu n'a nchi yetu ila INATIA UCHUNGU WANAJAMII
Kwamba maelezo ya tundu lisu ni kukubaliana n'a uhalisi wa ile video? Inawezekana ila pia tusiwe n'a haraka n'a mambo. mbona muda tunao n'a ukweli utajulikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.