Sehemu ya saba iko tayari karibuni msome wapendwa na wapenzi wa gamboshi aisee poleni sana kwa kusubiri naona wafuatiliaji mmekuwa wengi sana nashukuruni sana
SEHEMU YA SABA (7)
Alitoka mpka nje alikuta watu wakiwa wamejaa wamezunguka maiti ya binti yule ambae wamemaliza kumtoa mtoni mda si mrefu, afande baraka na mzee walikuwa wamesimama pembeni wakiwa wanamsubiri
“Nini kinaendelea”
“Familia ya marehemu imekuja inataka mwili wa binti yao”
“Hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.