Recent content by twasafi

  1. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Ahsante
  2. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    sehemu ya nane nitaweka jumamosi mapema
  3. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Ndio lkn hii ni fiction tu
  4. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Picha ndo kama limeanza hivi afande mwita kama namwona shusha like na comment yako niendelee kuweka kazi nzuri
  5. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Sehemu ya saba iko tayari karibuni msome wapendwa na wapenzi wa gamboshi aisee poleni sana kwa kusubiri naona wafuatiliaji mmekuwa wengi sana nashukuruni sana
  6. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    SEHEMU YA SABA (7) Alitoka mpka nje alikuta watu wakiwa wamejaa wamezunguka maiti ya binti yule ambae wamemaliza kumtoa mtoni mda si mrefu, afande baraka na mzee walikuwa wamesimama pembeni wakiwa wanamsubiri “Nini kinaendelea” “Familia ya marehemu imekuja inataka mwili wa binti yao” “Hicho...
  7. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Jioni itakuwa tayari
  8. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Bila shaka ni matatizo ya kiuandishi lulu[emoji16] nisamehe pia ahsante kwa kufutatilia
  9. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Naombeni radhi wapenzi wa gamboshi na ahid kuanzia jumatatu ijayo tutaendelea tulipo ishia mungu awabariki!
  10. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Nimepata matatizo jamani lakini ntarudi na nyiny hivi karibuni
  11. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Sawa mkuu usijali vitu vinakuja
  12. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Ahsante pia kwa kuchukua muda kusoma
  13. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Sawa mkuu nimekuelewa
  14. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Kuna habari gani???
  15. twasafi

    Hadithi: Gamboshi

    Mtanisamehe sehemu ya saba haiko tayari kwahiyo mpka jumatatu mtanisamehe wapendwa
Back
Top Bottom