Recent content by Twangala twizy

  1. T

    Clinical officers training center Lindi

    Kipo jirani na sokoine referral hospital ..na mkabala na lindi secondary (lindi high school)
  2. T

    Nifanyeje ili kupata nafai ya kusomea fani hizi?

    Naomba msaada wa kufahamishwa ni njia ipi mtu unaweza pata nafasi ya kusomea ualimu wa vyuo vya ufundi...au kusomea au kupata ujuzi wa fani za veta mfano civil...electrical.... plumbing...au agro mechanic
  3. T

    Siku sita 6 zimebaki selection za NACTE kutoka

    Nni lazima usubiri kwa kuingiza kipato....ila lugha ya isimu ndio imetumika zaidi.
  4. T

    Siku sita 6 zimebaki selection za NACTE kutoka

    Pressure ni kawaida kwani alopanga Maulana ndo huwa sema binadamu hatunaga subira tu
  5. T

    Siku sita 6 zimebaki selection za NACTE kutoka

    *leo ni leo asemae kesho muongo*
  6. T

    Siku sita 6 zimebaki selection za NACTE kutoka

    Kwa kawaida lazima mtu uwe na plan b Tuombe yote yawe mazuri.... I wait for ndanda nursing school and udom Kama nitachaguliwa itakuwa njema ila nisipochaguliwa ni mipango ya Allah.
  7. T

    Je ni lini deadline ya kutuma maombi kwa vyuo hivi?

    Naona kama tayari ishaanza ingia ktk link hii www.veta.go.tz then ukiingia utaona space ya registration itaingia
  8. T

    Deadline NACTE ni leo-20/08/2017

    Nakushauri lipia tena 10000 na uanze process upya kwa upande wa education
  9. T

    Deadline NACTE ni leo-20/08/2017

    Sio Mimi ni mvulana.... nursing wapo boys kibao ndio maana sikushangaa
  10. T

    Deadline NACTE ni leo-20/08/2017

    Hata mimi imenitoka 20000.... kumi UDOM wenyewe... kumi UDOM NACTE.. 1.nursing 2.pharmacy 3.lab technology 4.telecommunication 5.gis& remote sensing Huku NACTE ... nursing and Midwifery.
  11. T

    Deadline NACTE ni leo-20/08/2017

    Hata mimi imenitoka 20000.... kumi UDOM wenyewe... kumi UDOM NACTE.. 1.nursing 2.pharmacy 3.lab technology 4.telecommunication 5.gis& remote sensing Huku NACTE ... nursing and Midwifery.
Back
Top Bottom