Tunatoa offer kwa watu watano kwa Siku ya ijumaa kufanyiwa service Air-condition yko pamoja na fridge au kifaa chochote cha kuzalisha baridi au joto
Pia kwa wale wenye Incubator mbovu pia tunarepair
Kwa mawasiliano zaidi
0622 001 223
Tupo Kigamboni, Kinondoni pamoja na Buguruni
Morogoro...
Kwa matatizo ya Kiyoyozi (AC) fridge freeze na vifaa vyote vya kutengeneza baridi pia tunafunga na kurekebisha madishi umeme tupo kigamboni kinondoni na buguruni
Tupigie kupitia namba 0673772880 au 0622001223
Nyote mnakaribishwa
Kwa wale wenye fridge au freezer ambazo wamegeuza kabati au mafundi zimewashinda Al-timimy Tech ndo suluhisho lako tuite nasi tutaitika
Tunatengeneza mafridge freezer Aircondition (AC) majiko ya umeme na vifaa vyote vinavyozalisha baridi au joto
Tunapatikana Kigamboni
Kwa mawasiliano zaidi...
Habari wana jukwaa leo nimeona niongelee hili baada ya kuona wengi hatulizingatii
Ukiwa unamiliki kiyoyozi ili kidumu ni vzr ukatumia njia hizi
1) kila baada ya wiki tatu zitoe filter za indoor uzioshe na sabuni hii itasaidia kuifanya kiyoyozi chako kisichoke haraka
2) kila baada ya miezi...
Nimesoma post zote kitu nilichogundua ww unatembea na mume wa mtu na kinachokuuma kwa mkewe anahudumia kila kitu ila kwako anakupiga saundi ila nakushauri uvae viatu vya huyo mkewe kisha utajua nn cha kufanya ila mm nampa hongera sana huyo jamaa na hili ninaloongea hapa nina uhakika asilimia 99.9
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.