Recent content by twaha kiponza

  1. T

    Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    nyerere kitu alichotujengea watanzania kujua kwamba kuna kabila zaidi ya 120,na kila mtanzania anatambua hilo bila ya kujiuliza kabila gani ni kubwa na lipi ni dogo,kitu hicho ndo ambacho watanzania tutamkumbuka nyerere,tofauti ya nchi za wenzetu kama Kenya ukizungumzia makabila tu ni lazima...
  2. T

    Community airlines ni ya nani?

    ebwana ni kweli community ni ya Antony Diallo,lakini masuala ya ndege huwa hainunuliwi kwa keshi,inadidi uwe na kiasi fulani cha kuanzia alafu unapewa ufanyie kazi ili uwe unalipa kila baada ya muda fulani,kitendo hicho kinaitwa leasing,unanunua kwa mkopo ila tu kuna hela inayobodi uwe nayo ya...
Back
Top Bottom