Recent content by tuziii

  1. T

    Kwa mliochaguliwa Mount meru Univesity chochote unachotaka kujua uliza hapa

    Wale mliochaguliwa MMU uliza chochote unachotaka kujua
  2. T

    UKWELI KUHUSU AJIRA

    Huuu ndo uwakiki wa mwisho
  3. T

    UKWELI KUHUSU AJIRA

    Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni...
  4. T

    USANGI GIRLS SEC SCHOOL

    shule nzuri ya wasichana yenye walimu wa kutosha, ijawai kutoa matokeo mabaya Kwa mawasiliano 0765323944
  5. T

    Happy Birthday Diamond Platinumz (Icon wa Tanzania)

    Kafikisha miaka mingapi?
  6. T

    Naomba kufahamishwa hili

    Nashukuru ,kwa ushauri
  7. T

    Naomba kufahamishwa hili

    Iv watu wanaosoma BED IN ICT wanaajiriwa na serikali mojakwa moja kama education ya masomo mengine
  8. T

    Hii ndio Usangi girls secondary school

    Usangi Girls Secondary school ni shule nzuri ya wasichana ilioko kilimanjaro wilaya ya mwanga ni shule ya kanisa la kilutheri na inawalimu wa kutosha na maabara za kisasa na computer za kisasa. Kwa mawasiliano 0745909375,
  9. T

    Shule nzuri ya Olevo ya Wasichana mkoani Kilimanjaro.... Pamoja na ada zao

    Usangi girls sec school ni shulee nzuri sana kwa wasichana
Back
Top Bottom