Kwanza kabisa nianze kwa kumshukuru Mungu kwa mema yote aliyonijaalia kwa afya njema na upeo wa kuweza kuchanganua mambo magumu.Mada ya leo hakika ni ngumu sana wakati mwingine napata hofu kuijadili kwa kina,na hii ni kwa sababu binadamu tumeumbwa kwa hofu na hata mafundisho tunayopewa...
Voter turnout is the total number of eligible voters that turn out for an election.
Voting is considered the most important form of political participation in a democracy. However, in recent years most election has indicated a fall of voter turnout in elections in both new and established...
Kiongozi ni mtu yeyote anayewaongoza watu/kikundi cha watu ili kufikia malengo waliyoafikiana,aweza kuwa wa kuchaguliwa,kuteuliwa na vyovyote ili mradi analinda maslahi fulani.
Viongozi wa Serikali wamegawanyika katika makundi mawili makubwa Mosi viongozi wa Kuchaguliwa na Viongozi wa kuteuliwa...
Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa kwenye mambo ya msingi...Wananchi hao masikinindio wanateseka na kutokupata maji safi na salama...Ni wajibu wa Serikali kuwaletea wananchi wake maji na huduma nyingine.......No permanent friend or enemy but permanent interests....wananchi wenye uelewa mzuri...
Tafakari ya kina haina budi kufanya ili kuweza kufanya upembuzi yakinifu (feasibility study) ili kuweza kujua ni aina gani ya kiongozi tunayemtaka ili kuweza kusukuma gurudumu la Maendeleo ya waTanzania.
Ni jambo la msingi na muhimu sana kwa sababu inasadikika maendeleo ambayo Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.