Recent content by Turbo man

  1. T

    Msaada wa bima ya NHIF Kupima macho

    Habari ndugu zangu. Natumaini wote ni wazima. Mimi ni mwanachuo Nilikuwa naomba kujuzwa kama kwa bima yangu hii ya NHIF(50400/=) naweza kuitumia kufanya vipimo vya macho kwenye hospitali kama vile CCBRT na zingine? Msaada wenu maana nasumbuliwa na macho hasa kwenye mwanga mkali.
  2. T

    Bsch of Law UDSM

    Wewe ndo wasema hivyo..Lakin sikulaumu maana akili yako ndo inavyo kutuma
  3. T

    Bsch of Law UDSM

    NB:Nimewasilisha tu kwa niaba ya mtu.. sio mimi niliye na swali hili au shida hii maana mm nishamalizaga mda tu hiyo form six
  4. T

    Natafuta laptop ya laki na nusu (150k)

    Ni aina gani mkuu
  5. T

    Natafuta laptop ya laki na nusu (150k)

    Habari wana JF Natafuta laptop kwa anayeuza laki na nusu.. iwe na vigezo vyote muhimu kwa aliye tayari kuuza..nipo Dar es salaam Ubungo.
  6. T

    Anatafuta kazi Dar es Salaam, ana elimu ya kidato cha nne

    Habari za mda huu wana jamii forum..nipende kuwasilisha maombi haya kwenu..yeye ni dada/binti wa miaka 22 anaishi Mwanza kwa sasa ana elimu ya level ya form four anatafuta kazi ya kufanya Dar es Salaam. Kwa mwenye fursa ya kazi anichek inbox (pm)
  7. T

    Bsch of Law UDSM

    Kama kutumia lugha rafiki kwa mtu huwezi basi haina ulazima wa ww ku-comment, ungetulia tu
  8. T

    Bsch of Law UDSM

    Wakuu samahani nilikuwa nauliza kwa mtu mwenye ufaulu wa div one ya8 (1.8) HGL kwa ufaulu wa mwaka huu 2021 ulivyo na ushindani uliopo pale UDSM je, ana asilimia kubwa kupata kuchaguliwa kozi ya law hapo UDSM kwa hiyo one ya point 8...huyo mtu ashaa apply tayar hapo hiyo kozi ya Law...
Back
Top Bottom