Wakuu poleni na kujenga nchi, asee tupo Singida hapa tumetoka Kanda ya Ziwa huko tunatafuta lisaa sasa kupisha msafara wa mtu mkubwa.
Vipi hii hali ni haki? Si binadamu wote ni sawa? Si kila mtu ana haki sawa kwenye hii nchi?
Hivi na wenzetu huko abroad wana haya mambo?
Hii inauuma sana...
Serikali ifanyie kazi hili, vijana wananza ajira mpya na mdeni sana maeneo ya ugenini, kama haiiwezekan basi serikal iwapangiee vijana sehemu wanazoomba mana huko wana uhakika wa kesho yao
Hawa wakurugenzi wanapata wapi kiburi kutolipa mwezi wa nne huu vijana wanenda kama serikali kuu haijui hil? Kwani hizi pesa zinatoka halmashaur au serikal kui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.