siwez kuwa mkaidi wa kuelewa kwamba haya mambo yanahitaj uzoefu na si wote wenye uzoefu,na ndio maana nimekuja hapa jukwaan mana humu kuna elmu ya kutosha sana.
kwanza huwa hapend hata kupewa vitu na ndio maana kabla ya kupata hisia ya kumpa chochote huwa najaribu sana kupata feedback ya kile ninachokusudia kumpa kama yuko willing au la
ni kwel msweet nakubal si kila unapopenda na yey akupend lakn bint mwenye hisia anafahamika,mfano huyu bint ktk maongez naye alweza kunijibu "sawa" pale nlpoendelea kumwambia nakupenda,sas nlpotaka kufaham zaid muitikio wa sawa kwa maana gan negative au positive akasema yeye hajui cha positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.