Recent content by TUMBOO

  1. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa P.I.D kwa mwenza

    Sio kwakujamiiana tu....kwa sisi wanawake inatokana na aina ya pedi tunazotumia sasa ndio imekua chanzo kikuu....na mwanamke anapofua chupi kuanika ndani nayo inasababisha sana usije ukamuacha mwenzi wako bure ukizan anakusaliti
  2. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Yule Mzee aliharibu maisha ya Mabinti wengi Ila yangu aliyaharibu na kuyatengeneza mwenyewe

    Ila wanaume wenye tabia yakuingilia watoto wakike wakiwa wadogo mtaenda mbinguni mmchoka sana ...ni wengi sana wenye tabia hiyo
  3. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Haya mambo ya story itaendelea haya yatatumaliza
  4. TUMBOO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

    Sawa best frend ushauri wako ni mzuri sana....mwenzio kausikia na aufanyie kazi
  5. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    Bado ipo
  6. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    ...
  7. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    Sasa si unapiga simu then unaongea bei muuzaji aabgalie kama ataafiki
  8. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    ...
  9. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    Hakuna dalali hapo
  10. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    ...
  11. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota crown inauzwa namba EAA

    Toyota Crown inauzwa Crown 2004, Km 97,000 Pearl Cc 2590 14.5 m Kuiona piga no 0655859933 Ipo Dar
  12. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Kwa tuliopitia machozi, jasho na damu katika ukuaji wetu

    Mtoa mada hapo hatujakuelewa tudadavulie na hapa inakuaje na wakati unasema hujalelewa na mamaako https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1947611/
  13. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Tumieni tango na limao kujifukiza hasa unaposikia homa

    Hakikisha unatumia matango mawili na malimao mawili
  14. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Tumieni tango na limao kujifukiza hasa unaposikia homa

    Ndio uliitumia asubuhi na jioni unatumia hiyo hiyo ...siku mpya inapoanza unanunua matango namalimao mapya isilale
  15. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Tumieni tango na limao kujifukiza hasa unaposikia homa

    Endeleeni kutumia tango na limao kujifukiza hali ni mbaya
Back
Top Bottom