Recent content by Tulio jr

  1. T

    Suzuki Carry Inauzwa 6.7m

    Namba ya simu na picha mkuu!!
  2. T

    Kupandisha gari kwenye Kivuko cha Kigamboni bila kupanga foleni

    Si kweli wanaopita kwenye geti la chuma wote wana vibali maalum,nilishawahi kushuhudia kuna jamaa alipitishwa kwenye geti la chuma na hao askari uliosema but alipofika kwa wakagua tiketi wakamkomalia ikabidi alipe ndo akaruhusiwa,Halafu kuhusu wafanyakazi wa Bandari,mimi ni muajiriwa wa Bandari...
  3. T

    Kupandisha gari kwenye Kivuko cha Kigamboni bila kupanga foleni

    Hili suala hata mimi huwa linaniumiza kichwa ki ukweli,hutakuta nyinyi mmekaa kwenye foleni hata masaa 2,mtu anapitishwa kiwepesi tu,anatoka alipotoka 1-1 kwenye panton sasa kuna kipindi utakuta boti nzima imejaa magari yanayopita mlango wa nyuma tu,nyinyi mnaendelea kusota tu!Wahusika ebu...
  4. T

    The Official Azam FC Thread

    Azam kashinda 3-1
  5. T

    Technology mpya bungeni

    Good Idea,ishu iko kwenye utekelezaji,coz hii iliyokuwepo sasa wananufaika nayo.
  6. T

    Ushauri wenu Wadau

    Mimi ni mkazi wa Kigamboni,km wiki 3 zilizopita kulitokea la uvunjaji nyumbani kwangu,na kuibiwa baadhi ya vitu,nilitoa taarifa kituo cha polisi Kigamboni.Kwa gharama zangu nilikodi gari kwa ajili ya kufanya msako kuwapata wahalifu wa tukio hilo.Tulibahatika kuwakamata watuhumiwa watatu(3)kati...
Back
Top Bottom