Si kweli wanaopita kwenye geti la chuma wote wana vibali maalum,nilishawahi kushuhudia kuna jamaa alipitishwa kwenye geti la chuma na hao askari uliosema but alipofika kwa wakagua tiketi wakamkomalia ikabidi alipe ndo akaruhusiwa,Halafu kuhusu wafanyakazi wa Bandari,mimi ni muajiriwa wa Bandari...
Hili suala hata mimi huwa linaniumiza kichwa ki ukweli,hutakuta nyinyi mmekaa kwenye foleni hata masaa 2,mtu anapitishwa kiwepesi tu,anatoka alipotoka 1-1 kwenye panton sasa kuna kipindi utakuta boti nzima imejaa magari yanayopita mlango wa nyuma tu,nyinyi mnaendelea kusota tu!Wahusika ebu...
Mimi ni mkazi wa Kigamboni,km wiki 3 zilizopita kulitokea la uvunjaji nyumbani kwangu,na kuibiwa baadhi ya vitu,nilitoa taarifa kituo cha polisi Kigamboni.Kwa gharama zangu nilikodi gari kwa ajili ya kufanya msako kuwapata wahalifu wa tukio hilo.Tulibahatika kuwakamata watuhumiwa watatu(3)kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.