Recent content by Tulinagwe venance

  1. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania Hii ni laana! Inakuwaje tumekaa kimya kwa anayofanyiwa Tundu Lissu?

    Hii ni laana tena Kali na aliyetulaani ametuumiza kweli kweli. Yaani Mwenyekit wetu Tundu Lissu yupo ndani anaumizwa makusudi lakini ndio Kwanza hata hatujui tufanye nini, ulaya wamejaribu kutusaidia ni kama ndio wanachochea usingizi mzito. Mange anasema na kusema ndio Kwanza tunazidi kulala...
  2. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Unasubiri hayo majina ili iweje
  3. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nini kimesababisha CCM kujitokeza watia nia wengi nafasi za udiwani na ubunge?

    Uzurumati na kuvifinya vyama vingine mnataka muwe peke yenu
  4. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania Nani aliyemlisha Lissu matango pori eti kesi yake inafuatiliwa na Rais?

    Unafikiri Lisu ni mjinga kama wewe
  5. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania Nani aliyemlisha Lissu matango pori eti kesi yake inafuatiliwa na Rais?

    Kwani ikifuatiliwa na Rais Kuna shida gani mbona kama huna akili kabisa
  6. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania Serikali inatumia Mfumo gani kuwapata Mawakili wake? Au Mawakili Bora Huwa wanaamua kujiajiri wenyewe?

    Mawakili wa serikali wanatia aibu sana
  7. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Gwajima kasema Ponjoro wa Kinondoni atulize mashono, akimgeukia atasanda

    Gwajima anastahili ulinzi
  8. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa sana na msimamo wa makanisa this time

    Angalau viongozi wa dini wameanza kuwa wakweli na wameanza kuwaheshim waumini wao hii kuonyesha kwamba angalau Kuna mabadiliko makubwa kwenye jamii yetu. Naamini huu ni mwanzo tu huko mbele najua hii hali itakuwa kubwa sana. Hili Taifa tuna haki ya kulisaidia na viongozi wa dini huu ni wajibu...
  9. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tetesi: Mabalozi wa Marekani na Jumuiya ya Ulaya waliopo Tanzania watahudhuria kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

    Yaani unajua kusoma na kuandika tu kichwani empty kabisa
Back
Top Bottom