Nimeona kwamba CCM hawasimamii yale wanayoyaamini. How comes kosa kubwa kama hili mnaungana kulitetea?
Kama ndg Makonda hana na hajawahi kuwa na uhusiano wowote na jina Daudi Bashite atoke hadharani alisemee hili ili umma wa wanadaresalama na watanzania wote waelewe.
Mtu unakuwa disappointed...
Kama ni kweli lakini hajaforge vyeti. Anaitwa Freeman Mbowe tangu anazaliwa mpaka alipofikia kusoma.
Lakini kwa habari hizi za Bashite kwamba ameforge vyeti hili swala la tofauti sio la ukilaza tu bali ni kosa la jinai
Mbona unatetea sana mkuu? Hukushangikia wakati linajengwa?
Wako wapi viongozi na engineer wa jiji aloruhusu jengo kujengwa? Utawala wa jk ulikuwa sawa kuruhusu ujenzi, utawala wa jpm upo sahihi kuzuia na kubomoa na kama wasipobomoa baada ya magufuli akija mwingine akizuia kubomolewa utafurahia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.