Recent content by Tule Mihogo

  1. Tule Mihogo

    GE2020 TPSF na Siasa za Uchaguzi: Waandaa mkutano kumpongeza Rais Magufuli kwa mafanikio makubwa ya miaka 5 iliyopita

    Sector binafsi wanapongeza? Lakini usishangae dunia imejaa ubinafsi sana.
  2. Tule Mihogo

    Who is so afraid of Tundu Lissu to shoot him?

    Dictatorship Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Tule Mihogo

    Kwa kashfa hizi za kuhusishwa na biashara ya mihadarati, Freeman Mbowe jiuzulu Uenyekiti CHADEMA

    Wewe endelea kumchoka. Sisi tunamtaka zaidi ya anavyotutaka yeye
  4. Tule Mihogo

    Kwa hali ilivyo sasa, ni wazi kabisa kuwa Paul Makonda atajiuzulu au atatenguliwa!

    Kwanini tunamhukumi Paul Christian Makonda kwa makosa ya ndg Daudi Albert Bashite?
  5. Tule Mihogo

    Sakata la Makonda lachukua sura mpya, Mameya na Madiwani kutoshirikiana na RC

    Nimeona kwamba CCM hawasimamii yale wanayoyaamini. How comes kosa kubwa kama hili mnaungana kulitetea? Kama ndg Makonda hana na hajawahi kuwa na uhusiano wowote na jina Daudi Bashite atoke hadharani alisemee hili ili umma wa wanadaresalama na watanzania wote waelewe. Mtu unakuwa disappointed...
  6. Tule Mihogo

    Sakata la Makonda lachukua sura mpya, Mameya na Madiwani kutoshirikiana na RC

    Kama ni kweli lakini hajaforge vyeti. Anaitwa Freeman Mbowe tangu anazaliwa mpaka alipofikia kusoma. Lakini kwa habari hizi za Bashite kwamba ameforge vyeti hili swala la tofauti sio la ukilaza tu bali ni kosa la jinai
  7. Tule Mihogo

    Jenerali Ulimwengu kuhusu Tundu Lissu na urais wa TLS

    Tatizo viroba mnakunywa wenyewe na mnakataza wenyewe. Maajabu
  8. Tule Mihogo

    Jenerali Ulimwengu kuhusu Tundu Lissu na urais wa TLS

    Kwanini serikali inamuogopa Lissu kuwa rais wa TLS? Labda ungejibu hili kwanza tungeelewana.
  9. Tule Mihogo

    Kubomoa Naura Spring Hotel ni komoakomoa sio bomoabomoa

    Limejengwa kwenye chanzo cha mto au katika njia ya mto?
  10. Tule Mihogo

    Kubomoa Naura Spring Hotel ni komoakomoa sio bomoabomoa

    Mbona unatetea sana mkuu? Hukushangikia wakati linajengwa? Wako wapi viongozi na engineer wa jiji aloruhusu jengo kujengwa? Utawala wa jk ulikuwa sawa kuruhusu ujenzi, utawala wa jpm upo sahihi kuzuia na kubomoa na kama wasipobomoa baada ya magufuli akija mwingine akizuia kubomolewa utafurahia...
Back
Top Bottom