Pole asee , mm nakumbuka ilinitoka wakt niko Mdogo. Ilisababishwa na kula sna nyama za mafuta..ila nilitibiwa na miti shamba sikumuliza mzee ngoja nitamuuliza ni miti gani...ila kwasasa kamuone doctor.
Yani hii Mkuu wa wilaya, Mkuu wa mkoa hawawezi kulitatua hadi limfikie mh pombe? Mm ningekuomba mkuu wwe livalie njuga fika office ya Mkuu wa wilaya mueleze hili kama nae ataendelea kung'aa macho atumbuliwe haaaa, sipendi uthithiemu mm.
kweli pesa imeshika kila kitu naona kila mmoja kaigusia pesa,lahasha kwa mimi naona umri mzuri kwa kijna ni kuanzia umri wa miaka 25 kwenda juu, hapo ni wazi kabisa utaona mwili ukihitaji kabisa kuwa na mwenza haijalishi hata kma hatuna pesa tunaweza kuzitafuta tukiwa wawili.
ASEEE MNIPE POLE KAMA SI HONGERA MM KANISHIKA NA SASA TAYARI ANAYOMIMBA ANADAI NI YANGU YA MIEZI 4. SASA SITAKUA HATARI KWA MKE NITAKAEOA BADAE NIKITAKA KUOA?
UMEWEZAJE KUOA BINT MWINGINE NA SIO YEYE? BABU BILA KUCHUKUA HATUA HUO NI MWIBA UTAKAOKUPELEKEA NDO YENU KUVUMJIKA. CHAMSINGI SASA KUBARIANA NA ANAYOKUPA MKEO SAHAU KABISA YOTE ULIOTENDA NAE HUYO X WAKO, NA SASA HUYO SI WAKO TENA WAACHIA WASIOA WAENDELEE KUBULUZA.
TUWE NA MIOYO YA KUTOSHEKA JAMANI, UNAWEZA KUMALIZA DUNIA LAKINI USITOSHEKA LAKINI TUKIJIFUNZA KUPUUZIA VYOTE TUTAVIONA SAWA TU, KWANI NYEUPE NA NYEUSI UTAMU SI ULE ULE TU?
hakuna mnyama aliepewa upeo tuliopewa binadamu,ila kikubwa tutosheke na wapenzi wetu jaamani. utakalo kula kwa ASHA ni sawa na utakachokula kwa MWAJUMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.